Mlete mzungu: Uzi wa picha za mzungu wa Simba kwenye pozi tofauti

Hii sio sawa kabisa!
Mimi sio mshabiki wa simba hata kidogo ila huu uzi ni wa KIBAGUZI!
Kila siku tunalaani ubaguzi kwenye soka Ulaya sasa tusilete huku nyumbani kivingine
ungesema wachezaji wa simba angalau ila sio kumlenga mtu moja kwa moja kama una bifu naye!!!
Utani tu mkuu......don't take personal
....hata Aziz ki ....walisema anadomo lefu
 
Mtoa mada ni Yanga mwenzangu! Ila katika hili la huyu mshambuliaji wa wapinzani wetu, aisee sikuungi mkono.

Angefanyiwa hivi Samatta kule Ubelgiji, Uingereza, au Uturuki! Tungelaani sana. Hivyo kuna baadhi ya mambo tunatakiwa kuwa fair.

Ingawa na wanamsimbazi pia mwakani mtafute Mshereheshaji wa kueleweka. Achaneni na MC wa kubabaisha kama Ahmed Ali! Huu ujinga wote ulianzia kwake. Alikuwa na sababu gani ya kumtambulisha kama Mzungu, badala ya jina lake? Hii nchi imeshavurugwa kitambo! Ona sasa.
Ahmed Ali! Huu ujinga wote ulianzia kwake. Alikuwa na sababu gani ya kumtambulisha kama Mzungu, badala ya jina lake? Hii nchi imeshavurugwa kitambo! Ona sasa.

Leta mzungu
 
Muleteee mudhunguuuu
20220815_204609.jpg
 
Mchezaji wetu Simba wewe ana kuhusu nn kule ulaya uliona wapi mane akiitwa mwafrika zaid kuliko jina lake
Ila chanzo cha haya yote kwa mtazamo wangu ni Ahmed Ali, ile siku ya simba day! Mwakani atafutwe tu MC mwingine kwa kweli.

Ukijumlisha na kuvurugwa kwa Watanzania wengi na hizi tozo za Mwigulu, matokeo yake ndiyo haya sasa. Imagine huu uzi hauna kichwa wala miguu, lakini cha kushangaza unatembea kweli kweli!!
 
Back
Top Bottom