Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,203
- 128,037
Mlete mtasha
Mlete mtasha
Mlete mtasha
Utani tu mkuu......don't take personalHii sio sawa kabisa!
Mimi sio mshabiki wa simba hata kidogo ila huu uzi ni wa KIBAGUZI!
Kila siku tunalaani ubaguzi kwenye soka Ulaya sasa tusilete huku nyumbani kivingine
ungesema wachezaji wa simba angalau ila sio kumlenga mtu moja kwa moja kama una bifu naye!!!
Hakuna utani wa kipuuzi kama huu. Tuache mambo ya ubaguzi usio na kichwa wala miguu michezoni. Mwacheni acheze mpira.Utani wa hivi katika soka unafanyika dunia nzima labda uanze kushabikia soka jana,au kisa huyo ni mzungu ndani ya ardhi yako ya Tz? acha inferiority complex
Ahmed Ali! Huu ujinga wote ulianzia kwake. Alikuwa na sababu gani ya kumtambulisha kama Mzungu, badala ya jina lake? Hii nchi imeshavurugwa kitambo! Ona sasa.Mtoa mada ni Yanga mwenzangu! Ila katika hili la huyu mshambuliaji wa wapinzani wetu, aisee sikuungi mkono.
Angefanyiwa hivi Samatta kule Ubelgiji, Uingereza, au Uturuki! Tungelaani sana. Hivyo kuna baadhi ya mambo tunatakiwa kuwa fair.
Ingawa na wanamsimbazi pia mwakani mtafute Mshereheshaji wa kueleweka. Achaneni na MC wa kubabaisha kama Ahmed Ali! Huu ujinga wote ulianzia kwake. Alikuwa na sababu gani ya kumtambulisha kama Mzungu, badala ya jina lake? Hii nchi imeshavurugwa kitambo! Ona sasa.
Sawa kwaiyo kisa hajui kiswahili au kingereza ndio mnamfanyia hivyoImagine Mtu mwenyew hata English hajui vzr......
Sasa kiswahili atajulia wapi
Leta mzungu ,,,,,,,×2. Leta mzungu ,,,,,,,×2
Makolo fc mwaka utakuwa mchungu sana kwenu,,endelea kulamba ndimu
Kudadeq iiiiiiiuMuleteee mudhunguuuuView attachment 2324796
Mchezaji wetu Simba wewe ana kuhusu nn kule ulaya uliona wapi mane akiitwa mwafrika zaid kuliko jina lakeUbaguzi ni nini
Na hapo kambagua vp
Mi naona ni utani wala hakuna ubaguzi sema mnataka likuza jambo la ubaguzi
Naona unamuota Dejan hata ukiwa umelala mkuuuMzungu wa akipokelewa pale ahera madukani.........baada ya kwenda kupiga tizi
Kalpana View attachment 2324757
Ila chanzo cha haya yote kwa mtazamo wangu ni Ahmed Ali, ile siku ya simba day! Mwakani atafutwe tu MC mwingine kwa kweli.Mchezaji wetu Simba wewe ana kuhusu nn kule ulaya uliona wapi mane akiitwa mwafrika zaid kuliko jina lake
Hahaha. Naona unapata kazi kuwafafanulia. LolMimi Ni shabiki wa Simba kindaki ndaki
Ila huu naona ni utani tu wa kawaida kwnye soka la bongo
Hatimaye mdhungu anakaribia kufika tukuyuView attachment 2324801