Majitu mengine kazi yao ushabiki wa kijinga yeye anaona mtoa mada kaongea pumba wakati ni kweli hata wangeweka kila mladi wapunguze m50 tu wangejenga majengo kuliko wamepanga
Wambie waje wafanyie kwenye site groom's yako wakulipe mijitu mingine bwana fanya kazi Acha walio bahatika na kazi wewe umekalia kufatilia Leo nani kanya nani kajamba mbafu kweli wewe
Wengine ni kutokujua tu au ni mwislam anaongoza pale basi wewe ni kupinga tu shilika gani la hifadhi ya jamii lilo bola tanzania na linalo saidia maendeleo ya jamii na kipindi cha nani kuongoza ndio.limepata umaalufu acheni umbulula nssf nhc toka wamepata vingozi wasiopenda kuchumia matumbo yao...
Kubenea.anachokisema ni kweli kabisa wewe unafikili kama natty angemtangaza.kippe kwa nguvu kuwa mbunge wala yasinge tokea hayo natty kaiendeleza kinondoni kwa umakini sana halima mdee haujasema chochote wewe ndo umemkosesha ajila natty
Siku moja kasimamisha kivuko pale busisi masaa 4 wamsubili aje anatoka mwanza mabasi maloli gali za abilia kuja pale watu wakamzingila dereva akatoa gali kwa nguvu mpaka kwenye kivuko wanaita magali jamaa wakagoma akapelekwa peke yake huyu anatumia mabavu saana bulongo
Yani kuna mamtu mengeni punguani fatma.anakitu gani.alIchokosea wewe mtumwa wa waloho wa madalaka hao ndo viongozi wadilifu fatma msomi asie babaikia madalaka wewe kwa sababu maslahi yako yatakosekana ndo unamshambulia fatma upuzi wako peleka huko
Hawa wakuu wa( w) na mkoa wanajipendekeza saana.saa zingine wanakwenda kwenye kazi za wakandarasi wanafoka kweli wakati hela ya kuwalipa haipo mpaka mwakani ndo hela watalipa tatizo asilimia kubwa hawa ma contractor wa bongo hajui shelia hawadai hata intrest hela mwaka mzima unasubili
Hayo ndo tunaka kutoka kwa wabunge sio uonevu tu mambo ya siasa mtu afanyeje sasa watu.wameshinda na walifatilia matokeo mpaka mwisho mtegemee mkulugezi abadilishe matokeo mara usiku nyumba imechomwA moto haaa nanyie upinzani msilegelege hii ishuuu komaeni mpaka kieleweke kama kweli...
Yani muhongo unataka kumpa kasoro ongerea wengine sio.muhongo katika mawaziri huyo ndio no 1 na wananchi wote wanamkubali achana na wakina mwakyembe au kigwangala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.