Rais Magufuli, naomba usitupeleke huku...

Rais Magufuli, naomba usitupeleke huku...

aminiusiamini

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
3,577
Reaction score
2,227
WanaJamii,

Kipindi cha nyuma kidogo, niliandika kuhusu uongozi wa Raisi Magufuli utakavyoleta siasa chafu za maji taka, chuki na visasi baina ya wananchi kwa wananchi kutokana na gap iliyomo kati ya wale kama mimi(masikini) na wale walionazo.

Ifahamike kuwa Raisi Magufuli sio wa kulaumiwa moja moja bali ni system zilizowahi kuwepo kabla yake ndizo zilzosababisha ufa huu;tunapotazama miaka kumi ijayo ya Magufuli, ninaona ufa huu kuongezeka na kuwa mkubwa zaidi.

Kwanza namshutumu Raisi Magufuli kwa kuchagua watu ambao hawana sifa kama mawaziri na wengine wao kuwa shinikizo na Bunge juu ya utumishi wao kutoka miongo iliyopita. Nasema hivi maana watu hawa waliorudishwa wamenza kufanya kiasasi kwa watumishi waliochini yao na kuwanyanyasa kwa maslahi yao binafsi.

Watu kama Muhongo na Mwakyembe wamesikika wakiongea kwa kejeli sana na dharau.Napenda kuwajulisha umma na taifa kuwa,nathani tunajifunza visasi ni juu ya Mungu wetu. Lakini naawaambia hawa watu kwamba vita wanayoanzisha na kisasi hakitakuwa juu ya Mungu, maana Mungu husamehe na husamehe. Lakni mwanadamu hasamei na wala hasahau.Rwanda walipigana kutokana na ukabila.Tanzania imekuja vita ya wale wasiokuwa nazo na walionazo.

Hii vita wasianzishe wao,na kurudi nyuma.Wasilindane wao wenywe kwa wenywe na kuwatoa watu kafara na kuwaharibia maisha.Magufuli kama yeye ni mwanaume akamate wale walioko Lumumba na sio watu wachache,na hao mbwa wake wakae makni sana maana watanzania tutalipizana kisasi kabla ya asubuhi hakujakucha.

Mwenye sikio na asikie na mwenye macho asome na iko siku watanzania mtakumbuka maono yangu.Muda huu sio wa kisasi wala majigambo na wala chuki na kulaumiana.Magufuli usifukuze watu kutokana na kile umesikia au kukiona.Wengi hata waliokamatwa pale bandarini na TRA hawakuwa na na jinsi ni kafara tu.Narudia tena kama wewe mwanaume kamata wale waliosababisha kafara na madudu na sio watu hawa.
 
Utakuwa na kontena wewe. Konteba sio sindano ukilificha mwishoe litakuangukia by JPM
 
Mkuu mi naona mengi ya uliyoandika ni kinyume cha uhalisia. Sisi wanyonge tunaona ni wakati wetu kutesa hasa tunapotenda kama inavyotakiwa. Zamani watu hawa (wakubwa) walijiona miunguwatu leo tunasikia Hosea naye kimenuka!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu kama kuna uonevu soon utaonekana. Tuvute subira.
 
huyu bwana nimemwelewa kabisa na kaandika kitu kizuri tu kwa muelewa tofauti na hapo utaona kibaya ila ni uelewa tu
 
WanaJamii,

Kipindi cha nyuma kidogo, niliandika kuhusu uongozi wa Raisi Magufuli utakavyoleta siasa chafu za maji taka, chuki na visasi baina ya wananchi kwa wananchi kutokana na gap iliyomo kati ya wale kama mimi(masikini) na wale walionazo.

Ifahamike kuwa Raisi Magufuli sio wa kulaumiwa moja moja bali ni system zilizowahi kuwepo kabla yake ndizo zilzosababisha ufa huu;tunapotazama miaka kumi ijayo ya Magufuli, ninaona ufa huu kuongezeka na kuwa mkubwa zaidi.

Kwanza namshutumu Raisi Magufuli kwa kuchagua watu ambao hawana sifa kama mawaziri na wengine wao kuwa shinikizo na Bunge juu ya utumishi wao kutoka miongo iliyopita. Nasema hivi maana watu hawa waliorudishwa wamenza kufanya kiasasi kwa watumishi waliochini yao na kuwanyanyasa kwa maslahi yao binafsi.

Watu kama Muhongo na Mwakyembe wamesikika wakiongea kwa kejeli sana na dharau.Napenda kuwajulisha umma na taifa kuwa,nathani tunajifunza visasi ni juu ya Mungu wetu. Lakini naawaambia hawa watu kwamba vita wanayoanzisha na kisasi hakitakuwa juu ya Mungu, maana Mungu husamehe na husamehe. Lakni mwanadamu hasamei na wala hasahau.Rwanda walipigana kutokana na ukabila.Tanzania imekuja vita ya wale wasiokuwa nazo na walionazo.

Hii vita wasianzishe wao,na kurudi nyuma.Wasilindane wao wenywe kwa wenywe na kuwatoa watu kafara na kuwaharibia maisha.Magufuli kama yeye ni mwanaume akamate wale walioko Lumumba na sio watu wachache,na hao mbwa wake wakae makni sana maana watanzania tutalipizana kisasi kabla ya asubuhi hakujakucha.

Mwenye sikio na asikie na mwenye macho asome na iko siku watanzania mtakumbuka maono yangu.Muda huu sio wa kisasi wala majigambo na wala chuki na kulaumiana.Magufuli usifukuze watu kutokana na kile umesikia au kukiona.Wengi hata waliokamatwa pale bandarini na TRA hawakuwa na na jinsi ni kafara tu.Narudia tena kama wewe mwanaume kamata wale waliosababisha kafara na madudu na sio watu hawa.
Huna maono yoyote zaidi ya kutishia nyau!Kama ulifanya maovu utapigwa pini tu!Sijaona mahali alipokosea Magufuli,maana kama ni mawaziri wakizingua wanaondoka!kwa sasa kazi iendelee mbele!"Mwisho!"
 
Povu jingi kumbe na wew umeathiriwa kama mengi ndo mmetuma humu kuongea ujinga
 
Huna maono yoyote zaidi ya kutishia nyau!Kama ulifanya maovu utapigwa pini tu!Sijaona mahali alipokosea Magufuli,maana kama ni mawaziri wakizingua wanaondoka!kwa sasa kazi iendelee mbele!"Mwisho!"

Maoni yako ni yako,kama maoni yangu nilivyotoa kuhusu sakata hili.Siku moja,tukianza kulipiza kisasi barabarani tusishangae maana tunapaliliana chuki na wivu wa kike usiokuwa na mpango wowote na vile vile,haya yatakuw matokeo ya jamii ndogo fulani na ndogo kugandwamizwa kwa muda mrefu.

Nawashukuru wanaona kile najaribu kusema.JamiiForum siku hizi imevamiwa na wahuni wahuni tu,mtu anaona kujiandikia kucomment naye amechangia badala ya kuja na points kwanini anakubaliana au kukataa maoni.Wengi wenu ni mashamba boy hamna uwelewa.Ila magufuli kasema,shule zitakuwa bure,mrudi shuleni.
 
Magufuli Chadema asilia tunasema kaza uzi! usisikilize ya waliobeba majipu watakuvuruga. ukianza tuu kuwaonea huruma utakuwa umeharibu mfumo wote wa uaminifu. achana na mijitu inayoogopa kutumbuliwa majipu yao.
 
Mkuu mi naona mengi ya uliyoandika ni kinyume cha uhalisia. Sisi wanyonge tunaona ni wakati wetu kutesa hasa tunapotenda kama inavyotakiwa. Zamani watu hawa (wakubwa) walijiona miunguwatu leo tunasikia Hosea naye kimenuka!!!!!!!!!!!!!!

Wanyonge mnatesa kivipi wakati mabondeni huko watu wanalia. Teh teh teh
 
WanaJamii,

Kipindi cha nyuma kidogo, niliandika kuhusu uongozi wa Raisi Magufuli utakavyoleta siasa chafu za maji taka, chuki na visasi baina ya wananchi kwa wananchi kutokana na gap iliyomo kati ya wale kama mimi(masikini) na wale walionazo.

Ifahamike kuwa Raisi Magufuli sio wa kulaumiwa moja moja bali ni system zilizowahi kuwepo kabla yake ndizo zilzosababisha ufa huu;tunapotazama miaka kumi ijayo ya Magufuli, ninaona ufa huu kuongezeka na kuwa mkubwa zaidi.

Kwanza namshutumu Raisi Magufuli kwa kuchagua watu ambao hawana sifa kama mawaziri na wengine wao kuwa shinikizo na Bunge juu ya utumishi wao kutoka miongo iliyopita. Nasema hivi maana watu hawa waliorudishwa wamenza kufanya kiasasi kwa watumishi waliochini yao na kuwanyanyasa kwa maslahi yao binafsi.

Watu kama Muhongo na Mwakyembe wamesikika wakiongea kwa kejeli sana na dharau.Napenda kuwajulisha umma na taifa kuwa,nathani tunajifunza visasi ni juu ya Mungu wetu. Lakini naawaambia hawa watu kwamba vita wanayoanzisha na kisasi hakitakuwa juu ya Mungu, maana Mungu husamehe na husamehe. Lakni mwanadamu hasamei na wala hasahau.Rwanda walipigana kutokana na ukabila.Tanzania imekuja vita ya wale wasiokuwa nazo na walionazo.

Hii vita wasianzishe wao,na kurudi nyuma.Wasilindane wao wenywe kwa wenywe na kuwatoa watu kafara na kuwaharibia maisha.Magufuli kama yeye ni mwanaume akamate wale walioko Lumumba na sio watu wachache,na hao mbwa wake wakae makni sana maana watanzania tutalipizana kisasi kabla ya asubuhi hakujakucha.

Mwenye sikio na asikie na mwenye macho asome na iko siku watanzania mtakumbuka maono yangu.Muda huu sio wa kisasi wala majigambo na wala chuki na kulaumiana.Magufuli usifukuze watu kutokana na kile umesikia au kukiona.Wengi hata waliokamatwa pale bandarini na TRA hawakuwa na na jinsi ni kafara tu.Narudia tena kama wewe mwanaume kamata wale waliosababisha kafara na madudu na sio watu hawa.

Sasa nakuomba mwambie kama kaonewa kufukuzwa mwambie aseme nani alimwambia aachie makontena bila kulipiwa kama unamficha basi ndo utakuwa sadaka we sema kwani hata mueshimiwa rais kasema hajawahi kuruhusu mtu akwepe kodi hivo ni ujanja wenu .tu
 
Yani muhongo unataka kumpa kasoro ongerea wengine sio.muhongo katika mawaziri huyo ndio no 1 na wananchi wote wanamkubali achana na wakina mwakyembe au kigwangala
 
tena mtumie huyo Muhongo wako salamu.Mwambie makaidaid na dharau na chuki zake zikome amatakuja kujuta sana.
 
Kweli kuna uonevu hapa haiwezekani majipu yote yakawa wachaga tu kisa amekosa kura Kilimanjaro wakati kuna mabepari ya kihaya ambayo ni majipu yaliyoiva yanaachwa tu kwa kuwa yanatoka kanda ya ziwa!
 
Jamaa kaandika facts acheni ujinga someni muelew elimu elimu elimu by Edo.
 
Back
Top Bottom