Si lazima upewe kwa kutafuta anaweza akawa huyo ndo umepangiwa ili upate kupitia kwake tizama nia yake na hitajio lako huwenda upo sehem sahihi kwa taaluma yako hutashindwa kumpa test ndogo ndogo za kupima uelewa wake juu ya maisha ili asije akawa anafikiri na kwako atakuta kama vya kwao
Uwepo wa chama kinachoitwa chadema ndio msingi wa hata watu kupata mada za msingi kuongelea siasa zetu kila siku kinashusha asilimia za ushindi wa magamba na bahati yao wanabebwa na vinavyojiita vyombo huru ktk haki leo wangekuwa wanaota moto kwenye majiko ya kuni *****
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.