mzikeni jamani,kwa nini mnamtesa namna hii marehemu?
Marehem hajawaiteseka wewe, ule ni mwili tu wa marehem hata mkiutupa mkiuchoma haina shida kuzika ni heshma tu na kumbukumbu kwamba amezikwa hapa
mzikeni jamani,kwa nini mnamtesa namna hii marehemu?
Viongozi waandamizi walioko jijini Mwanza pamoja na Wabunge wa Kambi ya Upinzani ambao wameshafika hapa jijini Mwanza watazungumza na waandishi wa habari saa sita mchana, Gold Crest Hotel. Chombo chako kinakaribishwa.
Makene.
mzikeni jamani,kwa nini mnamtesa namna hii marehemu?
Walianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?
kwahiyo wewe huoni jinsi wanavyomuhangaisha marehemu? Matokeo yake anaweza kuamka na kuwaambia mumzike maana Naona Mnaleta Siasa Hata kwenye Misiba
Huyo mawazo hana ndugu.haiwezekani kama kweli ana ndugu wakubali mawazo aoze kusubiri vikao vya nyumbu wakijadili kwenda mahakamani
Kwako wewe unaona maigizo,ila wapo wenye upeo mpana wanaelewa . ...
Marehemu alikufa kwenye harakati za kisiasa na atazikwa kwa njia hizohizo.
Waliwatuma wauaji na walimuua Alphonce Mawazo wanateswa na roho pamoja na mwili wa marehemu kwa kuwa haujazikwa.Tunataka kila Mtanzania ashuhudie mauaji yake kwa kuona majeraha yake kichwani na shingoni...Mnaweza kuwaua watu weengi lakini hamtotumaliza.Mnaweza kuzimisha ndoto za mtu mmoja,lakini hamuwezi kuzuia harakati..Tutamzika kishujaa kama mlivyomuua.
mijitu ya kazkazini bwana wanataka kuutumia mwili wa marehemu kupiga madili yao
Kabla ya kujadili wanaotaka kupiga dili tujadili madhumuni ya waliomuua.Kwa nini wanazuia wananchi kutoa heshima zao za mwisho?..Mbona walitoa kwa Celina,Filikunjombe,na wengineo?..Kuna nini nyuma ya pazia?..Nauliza kuna nini?
Walianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?
mtu mwenye fangasi ya ubongo ndio anaweza kusema hayaSiasa za matukio, hadi kwenye misiba, dhambi kubwa!
Walianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?
Walianza na Lowassa wakahamia kwa Maalim Seif wakaenda kuzomea Bungeni wakaenda kutimuliwa kwny Msosi Dodoma sasa wamehamia kwny Maigizo ya Kutembeza mwili wa Marehemi. Kuweni na Adabu acheni familia ipumzishe mwili wa Marehemu panapostahili, ingekuwa kafa ndugu yao wangefanya hayo maigizo?