Wadau nahitaji mbegu bora za papai aina ya Carina na mwenye kuzijua vizuri anipe ujuzi namna ya kuandaa Miche na huduma zake hadi kuvuna.
Shamba ni ekari moja na nusu.
Kuna jamaa anaitwa KANAVARO huku kwetu anatisha balaa mwenyewe anadai hao akina RONALDO,MAMGWERERE ye anacheza nao na wanafungana tu yaan ktk top5 ya taifa naye yupo na kwavile sijawahi muona akifungwa Mimi naamini Sasa nyie munaowajua Mafundi wa MCHEZO huu je huyu jamaa munamjua?
Ni vyema ukamwambia mimi mwenzako bado kdg initokee puani kwa sabab ya hyo hof na kungoja hadi ajue mwenyewe, yaan ktk kitu ambacho mwanamke hapend ni kuanza kusikia kwa watu jambo ambalo ww umefanya kwa kwa sabab wanaofikisha huongoza chumvi mno,
Nikusimulie kilichotokea kwangu
Wife kasikia...
Ase kuna mwana amenishangaza sana demu wamchizi tena wakat yupo kwenye mahusiano na huyo rafiki yetu alikua anadirki kusema huyu demu mi simpend malaya kwel yaan ananiboa kweli jamaa akaja akaachana na yule demu kwa mauogomv yao mengine tu,
Mshikaj si akaanza kupiga yule demu tena kafungia ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.