Aisee hii kitu nimefundishwa sana chuoni, somo la Macroeconomic na Advanced macroeconomic. Kuna both stock trading na currency trading. Na tangu chuo nimefundishwa currency trading is subject to constant fluctuations that occurs in the minute. But the difference gap of one minute or second is a...
Hapo mwisho umekosea, siyo kila wanachofanya Kenya lazima na sisi tufanye. Japo ni jambo jema, ila acha sisi tuendelee kufanya ya kwetu.
Ikifika muda, tena kama ikibidi, Tanzania itarusha tu. Nitakuwa na hofu kama tu ni satellite ya Jeshi, ova
Popote ulipo mleta mada pokea pole zangu, sijui akili gani umetumia, au busara au hekima. Kwa kweli huyo jamaa aliyekuoa amepata hasara kubwa maishani. Watu wengine mnasikitisha sana, na sijui una ajenda gani moyoni kwa sababu ulichokifanya ni siwezi kutafuta jina baya la kuita.
Mungu...
Kujadili suala la usalama wa taifa ni kujipotezea muda, kwa always and will always be classified.
Usalama wa Taifa wanaweza kuua, kulemaza, ama kufanya lolote linalowezekana ili Nchi iwe salama.
Kama ikitokea ndugu yako anajihusisha na masuala yanayohtarisha usalama wa Nchi bola tu mmwonye...
Forex as foreign exchange markets kwa Tanzania inasimamiwa na BOT. Lakini online trading haitambuliki Nchini, by the way haihusishi Shilingi ya Tanzania. Hivyo BOT hawashughuliki nayo maana haiathiri Shilingi yetu.
Lakini pia hata Nchi zilizo endelea kama US, UK, Australia, Japan n.k watu...
Mimi nina nadharia moja, si tofauti sana na mawazo ya wengine hapo juu. Kwanza hii hali hutokea sana maeneo ambayo ni milima. Kwa mfano TZ-ZMBIA high way kuna maeneo ya Mlima nyoka, Mlima wa Simike, Mlima wa iwambi, Mikumi kupandisha pale n.k.
Niliwaza na kuona kuwa, sababu kubwa ni uzito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.