BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,323
- 7,895
Icho ulichokisema apo nilitakiwa nikiseme mimi kwako ila kwa kua ur blind,... Its too bad you said it,Tatizo baadhi ya wabongo kama nyinyi hampendi watu kutoa mawazo na mitazamo yao. Tukiwaambia ukweli mnatutukana, kutuzushia uwongo au kututishia amani!
Eti wivu wa kike! Nikuone wivu au chuki nakujua wewe? Ndiyo maana wengi mmeharibikiwa sababu ya uwezo mdogo wa kufikiri.