Recent content by santiana

  1. santiana

    Msaada kupangisha nyumba za Magomeni Kota

    Tusubili wataalamu waje Sent using Jamii Forums mobile app
  2. santiana

    SoC01 Ugonjwa wa Kisukari: Matajiri wengi wanaangalia pesa zaidi kuliko Afya yako

    Thanks for the best post in our story of change forum Sent using Jamii Forums mobile app
  3. santiana

    SoC01 Njia sahihi za kulea watoto ili waje kuwa viongozi wema na wenye kutii sheria za nchi

    Huu uI ni mzuri Sana ila utekelezaji wake kwa watoto nijambo jingine Sent using Jamii Forums mobile app
  4. santiana

    Unaposhangilia kuongezwa kwa Mishahara Usisahau kwamba Umepigwa kwenye Kikokotoo cha mafao

    Tatizoni watumishi waliowengi wajinga na kupelekea kuwaamini Sana wanasiasa. Binafi najua mwanasiasa ni mtu mpumbavu sana kwakuwa ni wadanganyifu mno[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji27] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. santiana

    Walimu wa Shule ya Sekondari Ilala, kwanini mnauza notes kwa wanafunzi?

    Pia Kuna wazazi wengine ni wahovyo mno hasa Kama huyu amekazania kuwa mwanae aandikiwe notes ubaoni Kama zamani [emoji44][emoji44][emoji44] ewe mzazi Kila zamanankitabu chake tangu wewe unasoma Hadi Leo mambo yanaenda mbio Sana, Kama hutaki mwanao auziwe hizo notes jitahidi umnunulie mwanao...
  6. santiana

    Ahsante sana January

    Tujitahid kujadili tatizo kuwa fursa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. santiana

    Ni utapeli gani mkubwa ulishawahi kufanyiwa tujifunze kitu

    Nilituma laki mbili kwa watu wa kukopesha fedha taslimu ama dhamana ya kukopesha milioni mbili ile tu nimeituma hiyo lakimbili nikablkiwa kwenye kundi la Facebook na kwenye namba ya simu niliyowasiliana nao ndipo nikapata akili kuwa nimetapeliwa. Dedication. Wale wanaosema tunakopesha fedha...
  8. santiana

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Habari! Nataka kujua ule mpago wa mabenki nchini Tanzania kutamiwa kupunguza riba za mikopo umefikia wapi kwa anaye just tafadhar, au ndio zilikuwa ni siasa za wakuu wa nchi wa mwananchi was tabaka la chini[emoji847][emoji847][emoji847] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. santiana

    I'm Santiana

    I like jamiiforum members Sent using Jamii Forums mobile app
  10. santiana

    Ni ukweli usiopingika kuwa gharama ya maisha imeongezeka sana

    Jamani maisha yamekuwa ghali Sana, Jalibu kuangazia bidhaa muhimu ambazo hazihusiani mojakwamoja na Vita vya Russia na Ukraine, mfano -mafuta ya kupikia - unga wa sembe -vifaa vya UJENZI Haya ni baadhi ya Mambo yanayopandikiza chuki ya wananchi dhidi ya mkuu wa nchi,ambapo mkuu wa nchi anaweza...
  11. santiana

    Ujumbe wangu kwa Waziri Bashungwa na Rais; Ajira za Tamisemi zimejaa Urasimu na viashiria vya rushwa

    Mimi pia nimeshangaa Sana kusikia Kuna watu wanarepoti vituoni na mawilayani ikiwa ajira bado hazijatangazwa!!! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom