Recent content by santana6060

  1. S

    JamiiForums Tanzania VETA Chang'ombe utaratibu mbovu wa vyeti

    Bila kupambn kupig kelel hamtapat mm na baadhi ya jamaa zangu tulikuwa tunatimb chuo apo veta dsm kila wiki but Glory to God adi leseni nimeipata Leo hii Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
  2. S

    JamiiForums Tanzania Vishoka kero TRA

    Tena ukiwauliza anakwambia anafanya kazi TRA ni officer... Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
  3. S

    JamiiForums Tanzania Vishoka kero TRA

    Ni kweli lakin poa usipokuwa makin unapigwa vizur Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
  4. S

    JamiiForums Tanzania Vishoka kero TRA

    Hii ni changamoto kubwa sana hususan TRA samora ni kero sana yani vishoka wanakuwa wengi kuliko wateja, mamlaka husika ingeangalia ili swala, na baadhi ya watu wanapigwa sana.... Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kama una mpango wa VETA PSV sikushauri

    Yah na kabla ya kozi test ni basi LA tata abiria 45 ukifaul test ndio unalipa Ada kusoma, ila pia kufeli kupo Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kama una mpango wa VETA PSV sikushauri

    Bora NIT kaka hakuna vipengere na Ada yao iko chini vyeti mapema tu, uku unasugua sana imagine miez zaid ya 3 hama zaid bila kazi Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kama una mpango wa VETA PSV sikushauri

    Kiongozi waliomaliza mwezi wa 1 ndio wamepata vyeti mwezi huu, bora NIT hata gharama ziko chin kuliko pale na vyeti vinawai Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kama una mpango wa VETA PSV sikushauri

    Hii ndio hali ilivyo kwa kozi ya PSV veta changombe, kozi ni ya wiki mbili, utasubili cheti zaid ya miez 3 kiufupi utakwama hii ni changamoto na inaumiza mno. Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
  9. S

    JamiiForums Tanzania VETA na changamoto ya vyeti

    Baada ya malalamiko mengi ya wahitimu wa kozi ya udereva wa PSV, tangu mwezi 1 veta walikuj na hii taarifa Katie picha chakushangaza , watu wamefik makao makuu veta Chang'ombe taarifa walizotoa bado haijulikan lin wanatoa vyeti hii ni changamoto kubwa.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Vitabu 14 viliondolewa kwenye biblia, Vatican imeficha nini, ilikusudia Dunia isijie nini?

    Ila Christ katik mafundisho yake alikuwaga kwa baba tangu milele yote, fahar ya suleman, ibrahamu, Eliaya hata kabla ya dunia yeye alikuwepo
  11. S

    JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii Gari, ushauri wenu

    Km 25,000
  12. S

    JamiiForums Tanzania Abiria wa Uber/bolt, wanaolipia kwa njia ya credit card, ile hela inayoingia kwa account yako unaitoa vipi?

    Iyo pesa inaingia Kenya account yako ya bolt unawez kuiacha kulipia makato ya bolt hama kuitoa ingawa kuitoa makato meng mfano, umelipwa 10000 u kuitoa kujazia kweny no ya simu yako wanakata 2000 then ukiitoa kweny simu kuja cash inakuwa kama 7000 hama 6500
  13. S

    JamiiForums Tanzania VETA Chang'ombe utaratibu mbovu wa vyeti

    Utaratibu wa chuo cha ufundi Veta Chang'ombe, hasa kwenye fani ya udereva ni changamoto sana, watu wamemaliza masomo wiki mbili kwenye fani ya udereva wa mabasi, wanakaa zaidi ya miezi kusubiri vyeti na driving licence, hao watu wana familia na driving licence ndio ajira yao wanaishi vipi? Sent...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Uber na Bolt kwa kutumia gesi asilia

    Umeshafunga gesi Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
  15. S

    JamiiForums Tanzania Mbinu ya awali kujua kama unalea mtoto wako au wa mwanaume mwenzio

    Ni ukweli Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom