santana6060
Member
- Apr 9, 2022
- 22
- 14
Baada ya malalamiko mengi ya wahitimu wa kozi ya udereva wa PSV, tangu mwezi 1 veta walikuj na hii taarifa Katie picha chakushangaza , watu wamefik makao makuu veta Chang'ombe taarifa walizotoa bado haijulikan lin wanatoa vyeti hii ni changamoto kubwa.