Duh nimefatilia sana hii thread no body knows where the actual market is especially in Tanzania or east africa in general ama kweli ni utapeli mimi ninazo rupie zaidi ya moja ila sharti langu unaehitaji nitafute usibip na kama vp nitakuelekeza nilipo
jaman msaada please imepita miezi sita toka niachane kimapenz na mdada mmoja ambaye alikua mtu wang sabab aliniomba tuachane ili apate wa kumuoa kweli nilifanya hivo Mung si athuman yule bint akapata mchumba baada ya mwez tu kuachana na alikua ananiambia hawajawah sex na mtu wake mpaka ndoa mara...
jaman msaada please imepita miezi sita toka niachane kimapenz na mdada mmoja ambaye alikua mtu wang sabab aliniomba tuachane ili apate wa kumuoa kweli nilifanya hivo Mung si athuman yule bint akapata mchumba baada ya mwez tu kuachana na alikua ananiambia hawajawah sex na mtu wake mpaka ndoa mara...
kuoa askar yataka moyo lazima uwe mjanja kumiliki kaenda kufundishwa ujasir neno msen*g kwake yeye litakuwa kawaida kutamka na mengne meng na usitegemee kumuendesha utakavyo
nakuunga mkono man cha msing atafute mwingne wa kuzugia na wala asimshobokee huyo afande mpaka demu atapoamua mwenyewe kumtafuta askar wa kike wanamatatzo xana kama kakupenda atakuheshm kama katimiza wajib wa kuolewa atakusumbua vingnevyo atakudharau
Matatizo Na Sababu Za Kutokuolewa Kwa Mwanamke Msomi Na Mwenye Kipato Zinatofautiana
Mwenye Kipato Hajasoma Mara Nyingi Na Weng Wao Kuolewa Ni Ngumu Huwa Anahisi Hakuna Mwanaume Wa Kumbabaisha Kama Pesa Anazo Due To Low Understanding Anahisi Mwanaume Atampenda Sabab Ya Vijisent Vyake Ni...
usiwe na haraka mda wake ukifika atakolea tu tena hukupaswa kuuliza why hakupigii jifanye umelizika mpe hela mpigie mara kwa mara atajiongeza tu usipende kumgombeza kwa jambo dogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.