NANDERA
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,024
- 2,486
hapana la shemeji jumapili huwa nadoea naenda nalo south beach!
gari ni gari tu hata kama la serikali ilimradi sipandi daladala na mashosti na majobles wa kitaa wananiona ukija kuni-pick inatosha kuninenepesha. kwani nani atawaambia kuwa ni la shemeji? watankoma mbona?!