Recent content by Sangizi

  1. Sangizi

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mfumo wa TBS unasumbua kutoa gari Bandarini, gharama zinakuwa kubwa na zinaangukia kwa mteja

    Why wanaingiza mifumo bila kufanya testing kama imekaa sawa? Hii changamoto ipo maeneo mengi sana, ukipata mzigo wako kwa wakati nenda kasali na kushukuru 😃
  2. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Wanaishi igoma hiyo hiyo mkuu.
  3. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Pole sana mkuu, nina jamaa zangu wanaishi jirani na makaburi ya wahanga wa hii ajali, huwa ni huzuni sana ifikapo tarehe hii. Mungu awapumzishe kwa amani
  4. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Huzuni sana, hali ni mbaya
  5. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Kichwa cha Marehemu James Temba, aliyeokotwa Mto Msimbazi chapatikana Kitunda, Kibeberu. Polisi Wathibitisha

    Bob Marley - So Much Trouble In The World. Inasikitisha sana ukiwafikiria wazazi wake na ndugu na marafiki. Huzuni sana
  6. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Lema: Lissu yuko tayari kufia jela wala msihangaike na Maridhiano feki

    Hatofia jela na atatoka, haki ya mtu hucheleweshwa tu
  7. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Lissu aonekana Mahakamani leo

    Kama ni kweli mbona itakuwa ni mambo ya kihuni?
  8. Sangizi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Msanii wa BongoFlava, Spack afariki dunia

    Mungu amrehemu.
  9. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa kuelewesha kuhusu Tangazo la kazi lililotolewa na JWTZ 14.04.2026

    Nilitaka nimwambie hana mishe zingine za kufanya? Labda awe kajiandaa kweli kweli kuvumilia atakapomaliza, mtaani vijana ni wengi sana sana wamepita huko mpaka leo hakuna kitu.
  10. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Maisha ya wasanii wetu nyuma ya pazia

    Upo sahihi mkuu lakini hii inahusu binadamu wote, binadamu ni kiumbe asiyetabirika unavyomuona leo sivyo atakavyokuwa kesho.
  11. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Hio statement haikuwa na ulazima wowote ule, sijui jamaa alifikiria nini. Anyway apumzike kwa amani
  12. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Sio mpira tu, kuna namna wa Africa nahisi kama hatuko sawa, Motsepe na watu wake wametudhalilisha sana
Back
Top Bottom