Siku moja nipo kwenye basi dereva wa basi hilo alifanya kitu cha kijinga sana ilibaki nusu tu kama sio kulivamia roli basi alikuwa anatumwaga wote huwezi amini kuna bwege mmoja nyuma huko aliropoka mwaga moto baba ipe ipe, hapo ndio niliamini kweli uchawi upo
Why wanaingiza mifumo bila kufanya testing kama imekaa sawa? Hii changamoto ipo maeneo mengi sana, ukipata mzigo wako kwa wakati nenda kasali na kushukuru 😃
Pole sana mkuu, nina jamaa zangu wanaishi jirani na makaburi ya wahanga wa hii ajali, huwa ni huzuni sana ifikapo tarehe hii.
Mungu awapumzishe kwa amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.