Recent content by Sangizi

  1. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Hii nchi imefikia pagumu sana
  2. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Je, kutatokea nini Lissu akihukumiwa kunyongwa hadi kufa?

    Mkuu Mungu hasaidii wasiojisaidia wenyewe kwanza.
  3. Sangizi

    JamiiForums Tanzania MADOGO MLIOPANDA DARAJA, HUKU LIGI KUU HAKUNA UTANI HUKU UMEME UPO NA UKISHANGAA UNAPIGWA SHOTI.

    Wenye kusikia wasikie, watu wanakula dozi ni hatari. Hii kitu iliwekwa sehemu mbaya sana basi tu
  4. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Lissu ninayemfahamu mimi kama wanadhani 'Prima Facie' itamnyenyekeza, wanakosea

    Mkuu acha kuzunguka wewe ni mboga mboga 😃
  5. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya chatgpt, Gemin na meta AI nani anatoa taarifa za kweli?

    Binafsi natumia gemini, yuko vizuri zingine hizo sijawahi kutumia
  6. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    Wabongo tumezoea vitu rahisi rahisi sana, analinganisha taaluma na ushindani.
  7. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Kanuni 30 za Afya kwa Wanaume Kabla ya miaka 35

    Uzi mzuri sana huu
  8. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

    Siku moja nipo kwenye basi dereva wa basi hilo alifanya kitu cha kijinga sana ilibaki nusu tu kama sio kulivamia roli basi alikuwa anatumwaga wote huwezi amini kuna bwege mmoja nyuma huko aliropoka mwaga moto baba ipe ipe, hapo ndio niliamini kweli uchawi upo
  9. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Shauri la Uhaini la Tundu Lissu kuendelea kuanzia tarehe 10/08/2026 hadi tarehe 07/09/2026

    Mkuu umenipa msamiati na elimu kidogo hapo kwenye Nolle Prosecqui, hili jambo pia naliona
  10. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Walinzi wa Ulimwengu wa Roho: Siri 7 za Kichawi na Kiroho Kuhusu Paka

    Chui mdogo, si unaona umakini wa chui kuanzia kuwinda mpaka kujificha, mule mule.
  11. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Kwa huu usawa acha nihamie tu Hybrid, kutumia milioni 5 kwajili ya mafuta, its above my grade,

    Kiasi fulani kuna mabadiliko, sasa hivi gari hizi barabarani ni nyingi si haba
Back
Top Bottom