Recent content by Sangizi

  1. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Sapraiziiii: Yanga yamsajili Selemani Mwalimu siku mbili baada ya kunukuliwa akisema ataichezea Simba Msimu wa 2026/27

    Unakuta na jamaa alimpost hadi status
  2. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya chatgpt, Gemin na meta AI nani anatoa taarifa za kweli?

    Binafsi natumia gemini, yuko vizuri zingine hizo sijawahi kutumia
  3. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    Wabongo tumezoea vitu rahisi rahisi sana, analinganisha taaluma na ushindani.
  4. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Kanuni 30 za Afya kwa Wanaume Kabla ya miaka 35

    Uzi mzuri sana huu
  5. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

    Siku moja nipo kwenye basi dereva wa basi hilo alifanya kitu cha kijinga sana ilibaki nusu tu kama sio kulivamia roli basi alikuwa anatumwaga wote huwezi amini kuna bwege mmoja nyuma huko aliropoka mwaga moto baba ipe ipe, hapo ndio niliamini kweli uchawi upo
  6. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Shauri la Uhaini la Tundu Lissu kuendelea kuanzia tarehe 10/08/2026 hadi tarehe 07/09/2026

    Mkuu umenipa msamiati na elimu kidogo hapo kwenye Nolle Prosecqui, hili jambo pia naliona
  7. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Walinzi wa Ulimwengu wa Roho: Siri 7 za Kichawi na Kiroho Kuhusu Paka

    Chui mdogo, si unaona umakini wa chui kuanzia kuwinda mpaka kujificha, mule mule.
  8. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Kwa huu usawa acha nihamie tu Hybrid, kutumia milioni 5 kwajili ya mafuta, its above my grade,

    Kiasi fulani kuna mabadiliko, sasa hivi gari hizi barabarani ni nyingi si haba
  9. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Walinzi wa Ulimwengu wa Roho: Siri 7 za Kichawi na Kiroho Kuhusu Paka

    Kati ya viumbe nisivyovielewa wala kuvipenda huyu namba moja. Huwa nashangaa sana mtu anayeishi na huyu kiumbe ndani
  10. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Inawezekana mtuhumiwa kutoroka kituo cha polisi?

    Pole sana mkuu, mtafute Dr. Gwajima kwenye page zake, huwa anapitia na kufanyia kazi mambo mengi tu. Huyo mwanaharamu hakikisha anachukuliwa hatua
  11. Sangizi

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mfumo wa TBS unasumbua kutoa gari Bandarini, gharama zinakuwa kubwa na zinaangukia kwa mteja

    Why wanaingiza mifumo bila kufanya testing kama imekaa sawa? Hii changamoto ipo maeneo mengi sana, ukipata mzigo wako kwa wakati nenda kasali na kushukuru 😃
  12. Sangizi

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Pole sana mkuu, nina jamaa zangu wanaishi jirani na makaburi ya wahanga wa hii ajali, huwa ni huzuni sana ifikapo tarehe hii. Mungu awapumzishe kwa amani
Back
Top Bottom