Why wanaingiza mifumo bila kufanya testing kama imekaa sawa? Hii changamoto ipo maeneo mengi sana, ukipata mzigo wako kwa wakati nenda kasali na kushukuru 😃
Pole sana mkuu, nina jamaa zangu wanaishi jirani na makaburi ya wahanga wa hii ajali, huwa ni huzuni sana ifikapo tarehe hii.
Mungu awapumzishe kwa amani
Nilitaka nimwambie hana mishe zingine za kufanya? Labda awe kajiandaa kweli kweli kuvumilia atakapomaliza, mtaani vijana ni wengi sana sana wamepita huko mpaka leo hakuna kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.