Recent content by Sangizi

  1. Sangizi

    Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Hio statement haikuwa na ulazima wowote ule, sijui jamaa alifikiria nini. Anyway apumzike kwa amani
  2. Sangizi

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Sio mpira tu, kuna namna wa Africa nahisi kama hatuko sawa, Motsepe na watu wake wametudhalilisha sana
  3. Sangizi

    Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    It's not about replacement, it's about influence and decision making kwenye sekta muhimu za kiusalama na kiutawala. Mfano huyo jamaa ni engine kwenye masuala mazima ya usalama n.k do you think atakayeletwa ata perfome the same as him?
  4. Sangizi

    Pole Mr. Lissu, Mungu yupo nawe

    Watoto wa Kitanga kwa mipasho
  5. Sangizi

    Kalonzo: Tunachunguza kwa umakini mauzo ya hivi karibuni ya hisa za Nation Media Group

    Mkuu umesikiliza kwa kuelewa au umesikiliza uje ubishane? Mbona katoa sababu zilizo wazi kabisa kwa nini wanachunguza?
  6. Sangizi

    Kwa maelezo haya ya Dudu Baya ukiwa na hela bora ukatibiwe India

    Hii Bongo wanaweza kumsubiri airport anarudi wakaondoka nae, haieleweki kabisa. Ukiwa tofauti tegemea lolote muda wowote
  7. Sangizi

    Kosa la Tottenham ni kuchagua makocha. Igor Tudor hatowasaidia chochote

    Alipigwa 3 na red card juu. Ni mgeni wa Liverpool match ijayo
  8. Sangizi

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Weka na source mkuu
  9. Sangizi

    Mwigulu: Muuguzi Tabora aliyemfanyia mgonjwa upasuaji nyumbani kwake afukuzwe kazi, afikishwe kwenye mkono wa sheria na kufutiwa leseni

    Mkuu ungeandika na sababu labda kwanini muuguzi huyo alifanyia nyumbani na hali ya mgonjwa.
  10. Sangizi

    Tumekuwa kimya kwa sababu tukizungumza tutaivua nguo CHADEMA

    Siasa za ki Africa shida sana, huyu jamaa si ndio anataka shughuli za Chama zifungwe?
Back
Top Bottom