Anaitajika mwanamke mmoja tu
Eneo la kazi ni Kariakoo Mtaa wa aggrey na Ndanda dukani/kwenye kampuni sanga kariakoo
Kazi yake ni kutengeneza matangazo madogo madogo na kuendesha account za ofisi ikiwa na application za Sanga Kariakoo zilizo google play na apple store pamoja na website ivyo...
iyo kubwa sana sema cjui plan zako frem ata laki 5 zipo mradi uwe mjanja tu ukiwa ata umejificha vipi na una mtaji watu wanakuja hasa wanaoagiza nje wapo sehem ambazo uwezi amini mm nipo floor ya 2 mtaa wa aggrey na ndanda na mambo yanaenda japo nauza computers na jengo lote compters so jua...
inategemea na biashara yako mimi mara ya kwanza nilienda na lak 5 na apo nilirudi na desktop 3 complete nikaja dar lkn wakati nauzia geto temeke nikipost mtu akitaka namuuzia 250 so nikaenda mpaka nikafungua duka kariakoo apa ila imenichukua mwaka sasa ndio maana nikasema ni timing yako tu...
iko ivi kama wewe una roho ndogo uwezi fanya hii biashara mana hasara ni kubwa hata lak 5 kwa siku na pia ina faida kubwa..mzigo kama una pesa za ukoo nenda dubai ila km unaunga unga nenda zanzbar ila unaweza enda zanzbar na usipate mzigo mana lazima uwajue wale wanaotoa mzigo dubai kuja...
ungekua kariakoo ni rahisi sana ukiwa na ofisi kampuni zote ukipiga simu zinatuma wafanyakazi wanakupa bei zote za jumla yaani rahisi sana mtiani upo kwenye kufanya biashara ikue na kuweza kucheza na soko ndio mtiani watu wanafunga sana maduka uku
boss ukitangaza apa sawa lakn kwenye fb/inst/google amna mtu anekusumbua mana unaweza amua kutangaza au kuzima tangazo yaani wewe ndio controller ndio inatuwia ngumu kutangaza kwa tz mana unaweza pata presha bure na je bei zetu unakuta kubwa sana
almost sisi huwa atuangalii gen tunaangalia corei ngap tu mana zote bei ni sawa ata kuchukua ila sema za gen kubwa zinawah kuisha na pia refurbished mashine nyingi zinakuja ni gen ya 3 mpka 6 otherwise niwe nimejumulia kwa mtu alietoka dubai direct ila sio wa zenji tunakojumuliua mana dsm...
lak 5 unapata i5 ya ram 8gb disk 500gb gen 3/4/6 kioo nch 22 mimi ndio nacheza na ayo mavitu ndugu 0714689280
na kuhusu card unaweza ongeza ila ya 1gb ni 60000 nk
kua wakala halisi mikoa iko ivi ili upewe uwakala inabid uwe na ofisi na leseni ata ya 120,000 kwa mwaka na pia uwe mjanja kweli kuweza kuhakikisha mkoa uliopo unaweza kuweka matangazo watu waone na sio online tu japo ila uwe mtu ulieiva sana mana inakua ndio kazi yako tu...tunatumia ofisi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.