maishakujipanga
Senior Member
- Feb 13, 2017
- 115
- 118
Wana jf naomba ambaye ana uzoefu namna ya kuwa agent wa online shopping platform ,
Nimeona watu wengi wanaagiza bidhaa mitandaoni lakini hawana ofisi za kupokelea bidhaa zao.
Utaratibu gani unatakiwa ili kuwa na ofisi za kuweza kupokea hizi bidhaa na kuwapigia simu wateja wazifate.
Hii ni kwa Online platform zenye ofisi Tanzania.
Nimeona watu wengi wanaagiza bidhaa mitandaoni lakini hawana ofisi za kupokelea bidhaa zao.
Utaratibu gani unatakiwa ili kuwa na ofisi za kuweza kupokea hizi bidhaa na kuwapigia simu wateja wazifate.
Hii ni kwa Online platform zenye ofisi Tanzania.