inaoneka huyajui maisha na umekuja juzi mjini,mimi naishi na watoto wa kikristo wawili na wote nawasomesha mmoja chuo kikuu na mwingine sekondari,haya na mimi ni mwisilamu safiii.embu acha maneno ya uchochezi nyio ndio mnaosababisha matatizo na hizo imani zenu za facebook na jamii forums
wabohaki,kaka Ruta
Nawasalimu wa kunyumba
uanamume ndio utata
mengineyo ni viambata.
sio gari unalobuluta
wala ghorofa yako nyumba
au wangapi umewapata
Ndg.mimi binafsi nimeifatilia hii biashara kwa karibu sana,hii unachokiona ni matokeo ya serikali yetu
kufanya mambo kisiasa zaidi plus conflicts of interest kwa baadhi ya watendaji wa mamlaka ya mawasiliano TCRA.
startime kupitia star media,ting kupitia AGAPE tv,na itv+star tv bado hawajaleta...
WC,
Kweli hawa watu walichanga kwa NIA moja,UWEZO na MIOYO yao misafi,sasa kinachotufanya sisi tushindwe KUWAPA TUNU nini?? au majina yao hayataleta UTAMU kwenye kuyatamka??? kama yale mingine ambayo juzi tu tumyapa vitivo pale Mlimani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.