Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #61
tayari tumeshakufa tumebakia kuzikwa,truvada yenyewe bei kubwa watanunua wakubwa tu sie huku chini hata kwa babu kwa sh 500 tulishidwa kwenda.ivi babu wa loliondo yupo jamani na kakikombe kanaendelea au kasitisha huduma?
ummu kulthum babu wa Loliondo ni tapeli sasa shukuru hata hukujipotezea muda na kwenda kule mbako wengi hivi sasa wanajutia muda na mafao yao mengine huku khali zao zikiendelea kuwa mbaya sana................na wengineo tayari tumekwisha kuwapumzisha.......tunapaswa kuishi kwa kupangilia mambo yetu ili tuishi raha mustarehe na tusikabli wengineo in name of love or whatever kutupangia mauti yetu...........
Last edited by a moderator: