Recent content by samwel mandia

  1. samwel mandia

    Msitulaumu watu wa Lindi, Mtwara, Zanzibar, Tanga na Pwani kwamba tunafeli! Sababu ni hizi

    Wahaya wanasifiwa kusoma sisi twasifiwa mapenzi sasa kuna kusoma apo ????tena MTU anaona ufahaaari et wanajua mapenz,ndoa zinavunjika kila Leo hakuna kitu.... OKOKA UONE KAMA UTAPATWA NA TATIZO HILO LA KIJIOGRAPHIA
  2. samwel mandia

    Paulo Dybala afunguka na kusema hivi juu ya Messi "Sio kwamba sipendi kufananishwa ila yeye ni lejendari".

    Safi Hapo ajiandae kuchuvaa viatu vya messi....safi sana
  3. samwel mandia

    Mawaziri Watakaolalamikia OC Ndogo!, Waache Kazi!. Ni Kauli ya Kujenga Nidhamu au Udikiteta Tuu?!.

    MMMMMM,,,NIMEIPENDA MADA,,,ILA TANZANIA ILIPO FIKIA HII NDIO DOZI YAKE,,,,,
  4. samwel mandia

    Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

    WEWE FUMBUA MACHO UONE,,,,,mimi ninacho fahamu kuhusu upinzani ni kuisababisha serikali iliyoko madarakani ifanye kazi kwa juhudi,,,hivyo lazima ikosolowe,,,sasa ikifikia hatua upinzani unakosoa hadi mambo mazuri,,,hatua nzuri za kupata uhuru wetu,,, TUTAANZA KUWA NA MASHAKA NA NINYI,,,sioni...
  5. samwel mandia

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    WEWE ACHA KUSEMA MTU WAAJABU,,,UNAPENDA SANA VYA KUPEWA,,,,HALAFU SOMA POST UELEWE SIO KUROPOKA OVYO....TUMIA AKILI YAKO VIZURI BWANA MDOGO,,,HAPA TUNACHO TAKA NI HOJA ZENYE MASHIKO USIROPOKE,,,WEWE MWANA UCHUMI WAWAPI WEWE...MIMI NILISEMA TATIZO NI JINSI TUNAVYO TUMIA MIKOPO ILI TUSIWE WAKOPAJI...
  6. samwel mandia

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    THINK BIG,,,kaka ni heri mtu umkope ufanye mambo yako kwa uhuru,,,kuliko ukubali awe mlezi wako akuamulie kila kitu,,pakwenda,jinsi ya kuishi,ule nini,,sasa nini maana ya uhuru???? ukikopa kwakuwa utarudisha ni vyema hapa tatizo ni jinsi gani tunatumia huo mkopo ili tuweze kulipa,,,TUMIA LOGIC...
  7. samwel mandia

    Wasichana 'Town' wamekuwa addicted na magari, wataliwa sana

    WEE usithubutu kusema MUNGU AMEUMBA UJINGA
  8. samwel mandia

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    MCC,KAMA BADO TUNAISHI KAMA APENAVYO MTU KWAAJILI YA MISAADA,BASI UKOLONI HAUJAISHA,,,ivi MAREKANI,wanajua maana ya demokrasia??? IV marekani wanajua maana ya HUMAN RIGHTS,mimi najua ili mtu anaye zungumza jambo aaminike lazima awe na CREDIBILITY,sasa MAREKANI,ana qualification za KUSEMA...
  9. samwel mandia

    Salama Jabir utaolewa lini?

    HAHAHAHHAH HAAAAAAAAA,hili cheko latoshaaaaa
  10. samwel mandia

    Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

    KWANZA,kupitia maandiko yanaeleza ukuu wa MUNGU ambao biblia niliyo soma inasema MUNGU ni roho,yeye hakuumbwa,yuko mahali popote.Sasa biblia inasema YEYE NI ROHO,scientist wanasema SUPERNATURAL POWER,natural power ambayo hawajaweza kuiprove kwa namna yoyote ndo mana wanashia hapo,,,,SASA kuishia...
  11. samwel mandia

    Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

    KIRANGA kama lilivyo jina lako unajitahidi sana kuhangaika kutoa reason zako kwa uwezo wa akili uliyo nayo,,,speculation,,kama ulinielewa kuhusu LOGIC usingekuwa na taabu hii,,,LOGIC kama maana yake ilivyo sio njia nzuri ya kufahamu FACT.sasa kama JAMBO MOJA,ukitumia ability of resoning unapata...
  12. samwel mandia

    Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

    hapa mwandishi anaonekana,anachanganya hoja kati ya VIUMBE,NA DUNIA.Maandiko yanasema MUNGU ameumba DUNIA NA VYOOOTE VIUJAZAVYO ULIMENGU.pia ANATUMIA "LOGIC"katika kufafanua concept.DIFINITION YA "LOGIC" ni ability of reasoning,NA PIA kuna individual difference kwahiyo hata capacity of reasoning...
Back
Top Bottom