Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,313
- 5,920
Paulo dybala amesema "MESSI amefanya makubwa katika historia ya soka".
Messi ni king na ataendelea kuwa king wa soka,,, ndiomaana hata mchawi mdogo wa Kiargentina a.k.a Dybala amekubali huwezi kumlinganisha na Messi.
Huyu dogo ana akili mnoo,,hiyo itamfanya kuwa player mkubwa sana hapo baadae.
Thank you so much magician Dybala kwa kulijua hilo. Messi iz the king.
Tunakukaribisha next season pale NOU CAMP kwa brother wako.