Recent content by SamuraiJack

  1. SamuraiJack

    JamiiForums Usiku wa manane

    5:02 nipo hapa
  2. SamuraiJack

    Biashara ya Mishkaki kwa Vitoroli (Jero-jero)

    Na mpaka leo bado anauza chips kuku, wewe endelea kukenua 😂
  3. SamuraiJack

    Biashara ya Mishkaki kwa Vitoroli (Jero-jero)

    Naam kaka, hakika kwa namna nilivyofanya utafiti inaonekana ni biashara inayolipa, japo kwa mkoani nilikuwa sijui kama napo inafanya vizuri! Vipi una uzoefu na hii kitu?
  4. SamuraiJack

    Biashara ya Mishkaki kwa Vitoroli (Jero-jero)

    Una uhakika chief? Wao hawauzi mishikaki ya mbuzi.
  5. SamuraiJack

    Biashara ya Mishkaki kwa Vitoroli (Jero-jero)

    Nijidanganye nini Sawa kaka hakika hapa kuna madini, unaweza ongezea nyama kidogo kiongozi? Maana naona comment nyingi humu ni za kukatishana tamaa na wengi wanaosema hivyo hata hawafanyi hii biashara.
  6. SamuraiJack

    Biashara ya Mishkaki kwa Vitoroli (Jero-jero)

    Sasa matusi ya nini ndugu? Mbona una ugomvi sana na maisha?
  7. SamuraiJack

    Biashara ya Mishkaki kwa Vitoroli (Jero-jero)

    Katika pita-pita zangu nimekutana na vijana wanaouza mishikaki kwa kutumia vitoroli vyenye matairi mawili na jiko la mkaa kwa juu, hapo hapo juu kwa pembeni wanaweka mishikaki iliyochomwa tayari. Wanauza mishkaki ya ng’ombe, maini, figilisi, kuku na soseji, vyote kwa jero jero na mara nyingi...
  8. SamuraiJack

    Msigwa kwanini msiwashtaki kwa "sedition na defamation"

    Utawashitaki mahakama za wapi we chawa?
  9. SamuraiJack

    Hali tete Marekani inaomba msaada wa washirika wake na dunia dhidi ya China katika vita vya uchumi

    Yani sijaelewa....wanalazimishwa kuuziwa hayo madini na China?
  10. SamuraiJack

    Mtandao wa Telegram Tanzania una shida gani?

    Ni kweli kwangu pia inasumbua siku ya nne sasa
  11. SamuraiJack

    Frequency/Masafa ya clouds FM Zanzibar

    Habari wadau? Naomba kujua frequency za clouds FM mtu ukiwa Zenji. Ahsanteni.
  12. SamuraiJack

    Sheria kuu 5 kwa mwanaume

    Hosea 4:6 imeandikwa “Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;”. Mitume 4:13 imeandikwa "mshike sana elimu, usiache aende zake"
  13. SamuraiJack

    Sheria kuu 5 kwa mwanaume

    Aliyewaletea dini akasahau kuwapa elimu aliwakosea sana
Back
Top Bottom