Mtandao wa Telegram Tanzania una shida gani?

Mtandao wa Telegram Tanzania una shida gani?

MaweSaba

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2024
Posts
361
Reaction score
535
Wadau natumai mko vizuri.

Kwa siku tatu sasa mtandao wa Telegram umekuwa haufunguki na nahusisha na taarifa kuwa kuna changamoto ya kimtandao licha ya kuwa Mamlaka husika hazijareport chochote.

Telegram, imekuwa inaload tu Kwa siku ya nne sasa, kuna Nini kinaendelea?
 
Wadau natumai mko vizuri.

Kwa siku tatu sasa mtandao wa Telegram umekuwa haufunguki na nahusisha na taarifa kuwa kuna changamoto ya kimtandao licha ya kuwa Mamlaka husika hazijareport chochote.

Telegram, imekuwa inaload tu Kwa siku ya nne sasa, kuna Nini kinaendelea?
Mbona naangalia ngono hapa hausumbui
 
Back
Top Bottom