Recent content by Samson Kwayu

  1. S

    Namuunga mkono Mwigulu Nchemba, amependekeza jambo lenye uzito mkubwa wa kiheshima na uzalendo, litekelezwe

    NAMUUNGA MKONO MWIGULU NCHEMBA Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amependekeza jambo lenye uzito mkubwa wa kiheshima, uzalendo, na uhamasishaji wa uwajibikaji wa raia. Wazo lake la kuweka mabango yanayoeleza kuwa miradi imejengwa "kwa hisani ya walipa kodi wa Tanzania" lina mantiki nzuri kwa...
  2. S

    Nampa heko Rais Samia kwa ukusanyaji wa kodi wa kisasa na sera za kodi rafiki, anastahili kupongweza na kila mtu

    Katika kipindi cha miaka minne tu ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita, Tanzania imeandika historia mpya ya usimamizi wa mapato ya ndani, mafanikio ambayo yamewezekana kutokana na mwelekeo wa kisera, usimamizi madhubuti na maono ya kiuchumi ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na...
  3. S

    Rais Samia amekuza uchumi, viashiria vyote vya msingi vinambeba.

    Katika miaka minne ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Tanzania imeonyesha kwa vitendo kwamba uchumi imara si nadharia tu, bali ni matokeo ya maamuzi thabiti, sera zenye mwelekeo, na usimamizi makini wa fedha za umma. Kupitia ushirikiano wake na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu...
  4. S

    Dkt. Nchemba ahani msiba wa hayati Cleopa Msuya

    Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amefika kuhani msiba wa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu Mstaafu, na ambaye pia aliwahi kuwa Waziri wa Fedha na Mipango (1973–1975) na Waziri wa Fedha na Uchumi (1986–1989), Hayati David...
  5. S

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Tapeli huyo ana anachojua, kandarasi yake ni kumchafua Madelu.
  6. S

    Fedha zipo, taratibu zipo, tuache propaganda na hisia za kisiasa

    Kama mdau wa uchumi wa maendeleo na uwajibikaji wa matumizi ya fedha za umma, ningependa kuchangia kwa uelewa wa kitaalamu kuhusu hoja ya TZS 1.14 trilioni inayofanyiwa mijadala mingi ya kipropaganda. Kwanza, ni muhimu kufahamu kwamba fedha hizi hazijapotea wala kuibiwa. Zipo salama katika...
  7. S

    Yanayoendelea bungeni kati ya Mwigulu na Tulia ni Vita ya Urais wa 2030

    Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake...
  8. S

    Kundi hatari la Mafisadi laibuka, haligusiki, lina ulinzi Mkali

    Katika historia ya Tanzania na utumishi wa Umma hakujawahi kuwa na wafanyakazi wawili wala rushwa kama waziri January Makamba na Mkurugenzi wa TANESCO bwana Maharage Chande. Ukiachilia mbali mambo aliyoyasema CAG kwenye ripoti yake na madudu yakiyofanywa na wawili hawa, tumeshuhudia mwishoni...
  9. S

    Spika Tulia Ackson ana "conflict of interest" katika Wizara ya Nishati, mume wake ni bosi wa EWURA

    Leo asubuhi tumeshuhudia jinsi spika wa bunge Dokta Tulia akihaha kuhalalisha kuwa kikanuni akidi (idadi) ya wabunge imetimia na mjadala wa bajeti ya wizara ya nishati itaendelea tu japo kuna wabunge zaidi ya 200 wamesusia mjadala wa wizara ya nishati leo asubuhi. Dr. James Andilile ni mume wa...
  10. S

    Tulia Ackson aendelea kukanyaga kanuni kumlimda bosi ya mumewe, akidi ya wabunge haijatimia kupitisha bajeti ya nishati

    Spika wabunge la Tanzania ana kibarua kigumu sana kunusuru na kuhalalisha bajeti ya wizara ya nishati baada ya kulazimika kutoa ufafanuzi leo kuwa ni wabunge 193 tu waliohudhuria majadiliano na kikanuni ni sawa. Hiyo inafuatia mining'ono iliyokuwepo ndani ya ukumbi wa bunge juu ya uhalali wa...
  11. S

    Tulia Ackson aandika historia mpya ya kuwa Spika wa kwanza kubariki Rushwa bungeni

    Bunge letu la Tanzania leo limeingia kwenye historia nyingine ya kuwa kitu cha ajabu sana kwa kauli za Spika Dokta Tulia kuita rushwa kuwa ni kitu cha kawaida kufanyika. Spika akijua kabisa siyo sawa leo amekitetea kwa nguvu sana kitendo cha wabunge kukubali rushwa ya mitungi ya gesi 100 kila...
  12. S

    Mitungi 100 ya gesi ya January Makamba kwa ufafanuzi wa Spika Tulia ilikuwa siri, Salma Kikwete karopoka bila kujua?

    January Makamba ufisadi upo kwenye DNA? Kupitisha bajeti tu, umewanunulia wapiga kelele 320 mjengoni 'coupon' za majiko ya gesi ili wasipige kelele? Kila kichwa mjengoni majiko 100. Hapo ni majiko 32,000, Mtungi wa 6kg ni Sh. 40,000. Hii ni Sh1.28 bilioni. Gharama hizi analipa nani? Pesa hizi...
  13. S

    Wizara ya Nishati yatuhumiwa kumwaga rushwa kwa wabunge na waandishi wa habari. Takukuru ingilieni

    Kwa mara ya kwanza katika siasa za Tanzania na kwenye bunge la bajeti tunashuhudia jinsi wizara ya nishati inavyonunua waandishi wa habari na wabunge katika jitihada za kuhakikisha bajeti yao inapitishwa bika mikwamo. Ni utamaduni mpya sana wa kiutendaji na kwa kweli haijapata kutokea kama...
Back
Top Bottom