NAMUUNGA MKONO MWIGULU NCHEMBA
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amependekeza jambo lenye uzito mkubwa wa kiheshima, uzalendo, na uhamasishaji wa uwajibikaji wa raia. Wazo lake la kuweka mabango yanayoeleza kuwa miradi imejengwa "kwa hisani ya walipa kodi wa Tanzania" lina mantiki nzuri kwa...
Katika kipindi cha miaka minne tu ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita, Tanzania imeandika historia mpya ya usimamizi wa mapato ya ndani, mafanikio ambayo yamewezekana kutokana na mwelekeo wa kisera, usimamizi madhubuti na maono ya kiuchumi ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na...
Katika miaka minne ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Tanzania imeonyesha kwa vitendo kwamba uchumi imara si nadharia tu, bali ni matokeo ya maamuzi thabiti, sera zenye mwelekeo, na usimamizi makini wa fedha za umma. Kupitia ushirikiano wake na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu...
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amefika kuhani msiba wa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu Mstaafu, na ambaye pia aliwahi kuwa Waziri wa Fedha na Mipango (1973–1975) na Waziri wa Fedha na Uchumi (1986–1989), Hayati David...
Kama mdau wa uchumi wa maendeleo na uwajibikaji wa matumizi ya fedha za umma, ningependa kuchangia kwa uelewa wa kitaalamu kuhusu hoja ya TZS 1.14 trilioni inayofanyiwa mijadala mingi ya kipropaganda.
Kwanza, ni muhimu kufahamu kwamba fedha hizi hazijapotea wala kuibiwa. Zipo salama katika...
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake...
Katika historia ya Tanzania na utumishi wa Umma hakujawahi kuwa na wafanyakazi wawili wala rushwa kama waziri January Makamba na Mkurugenzi wa TANESCO bwana Maharage Chande.
Ukiachilia mbali mambo aliyoyasema CAG kwenye ripoti yake na madudu yakiyofanywa na wawili hawa, tumeshuhudia mwishoni...
Leo asubuhi tumeshuhudia jinsi spika wa bunge Dokta Tulia akihaha kuhalalisha kuwa kikanuni akidi (idadi) ya wabunge imetimia na mjadala wa bajeti ya wizara ya nishati itaendelea tu japo kuna wabunge zaidi ya 200 wamesusia mjadala wa wizara ya nishati leo asubuhi.
Dr. James Andilile ni mume wa...
Spika wabunge la Tanzania ana kibarua kigumu sana kunusuru na kuhalalisha bajeti ya wizara ya nishati baada ya kulazimika kutoa ufafanuzi leo kuwa ni wabunge 193 tu waliohudhuria majadiliano na kikanuni ni sawa.
Hiyo inafuatia mining'ono iliyokuwepo ndani ya ukumbi wa bunge juu ya uhalali wa...
Bunge letu la Tanzania leo limeingia kwenye historia nyingine ya kuwa kitu cha ajabu sana kwa kauli za Spika Dokta Tulia kuita rushwa kuwa ni kitu cha kawaida kufanyika.
Spika akijua kabisa siyo sawa leo amekitetea kwa nguvu sana kitendo cha wabunge kukubali rushwa ya mitungi ya gesi 100 kila...
January Makamba ufisadi upo kwenye DNA? Kupitisha bajeti tu, umewanunulia wapiga kelele 320 mjengoni 'coupon' za majiko ya gesi ili wasipige kelele?
Kila kichwa mjengoni majiko 100. Hapo ni majiko 32,000, Mtungi wa 6kg ni Sh. 40,000. Hii ni Sh1.28 bilioni. Gharama hizi analipa nani?
Pesa hizi...
Kwa mara ya kwanza katika siasa za Tanzania na kwenye bunge la bajeti tunashuhudia jinsi wizara ya nishati inavyonunua waandishi wa habari na wabunge katika jitihada za kuhakikisha bajeti yao inapitishwa bika mikwamo.
Ni utamaduni mpya sana wa kiutendaji na kwa kweli haijapata kutokea kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.