Kundi hatari la Mafisadi laibuka, haligusiki, lina ulinzi Mkali

Samson Kwayu

Member
Jun 9, 2022
18
90
Katika historia ya Tanzania na utumishi wa Umma hakujawahi kuwa na wafanyakazi wawili wala rushwa kama waziri January Makamba na Mkurugenzi wa TANESCO bwana Maharage Chande.

Ukiachilia mbali mambo aliyoyasema CAG kwenye ripoti yake na madudu yakiyofanywa na wawili hawa, tumeshuhudia mwishoni mwa wiki hii wakiandika historia ya kugawa rushwa kubwa sana bungeni ili bajeti yao ipite na wasihojiwe kwa lolote japo wizara yao na TANESCO ina matatizo lukuki.

Tumeshuhudia;
1. Wabunge wakihongwa mitungi ya gesi ambayo inafikia jumla ya 1.5bn TZS
2. Semina mbili (tanesco na EWURA) za kulaghai wabunge siku moja kabla ya bajeti imegharimu 180m TZS
3. Rushwa aliyopewa Deo Mwanyika kugawia wabunge wiki 3 kabla ya kusomwa bajeti 750m TZS

Tunajiuliza watu hawa wanatoa wapi fedha za kufanya mambo magumu kiasi hiki? Wanawezaje kufanya rushwa waziwazi hivi bila kuogopa?

Kwa mshangao mkubwa sana spika alijitutumua kuwatetea na kisema fedha hiyo iko kwenye bajeti lakini kiukweli hela hiyo haipo na fungu hilo hakijawahi kufanyiwa bajeti mwaka jana. Spika amedanganya waziwazi.

Pia tumeshuhudia idadi ndogo ya wabunge wakiohudhuria mjadala na kupitishwa kwa bajeti ile. Tunadokezwa kuwa hata jioni siku ya kuipitisha akidi haikutimia lakini spika akaipitisha kwa nguvu.

Sawa tunajua wana ma god father ndani ya chama na wanawahakikishia kuwa matendo yao hayana athari. Je? Hayana athari kwa wananchi? Inawezekana ndani ya CCM hayana athari kwa kuwa hii ndiyo tabia yao kichama lakini yana athari kubwa sana kwa watanzania.

Lakini tunajua na kufahamu kuna mtu ndani ya CCM anapelekewa hii migao ndiyo maana wawili hawa hawana cha kuogopa kwa kuwa wanatoa gawio kwenye rushwa wanazozipokea.

Kuna makosa CCM iliyafanya makubwa sana kurudisha baadhi ya watu waliofukuzwa na kuondolewa kwenye hiki chama kwa kuwa wao wanawaza wizi tu na kufidia muda wakiopoteza walipofukuzwa.

Hatutanyamaza wala kuogopa kusema kwa kuwa tunataka watanzania wajue watu walioko kwenye utumishi wa umma na madudu ya rushwa wanayotafanya ili ikifika siku ya uchaguzi waamue kwa busara kwa kuwa sisi tumetimiza wajibu wetu wa kuwaambia ukweli.
 
Katika historia ya Tanzania na utumishi wa umma hakujawahi kuwa na wafanyakazi wawili wala rushwa kama waziri January Makamba na Mkurugenzi wa TANESCO bwana Maharage Chande.

Ukiachilia mbali mambo aliyoyasema CAG kwenye ripoti yake na madudu yakiyofanywa na wawili hawa , tumeshuhudia mwishoni mwa wiki hii wakiandika historia ya kugawa rushwa kubwa sana bungeni ili bajeti yao ipite na wasihojiwe kwa lolote japo wizara yao na tanesco ina matatizo lukuki.

Tumeshuhudia;

• wabunge wakihongwa mitungi ya gesi ambayo inafikia jumla ya 1.5bn TZS
•semina mbili(tanesco na EWURA) za kulaghai wabunge siku moja kabla ya bajeti imegharimu 180m TZS
• rushwa aliyopewa Deo Mwanyika kugawia wabunge wiki 3 kabla ya kusomwa bajeti 750m TZS

Tunajiuliza watu hawa wanatoa wapi fedha za kufanya mambo magumu kiasi hiki? Wanawezaje kufanya rushwa waziwazi hivi bila kuogopa?

Kwa mshangao mkubwa sana spika alijitutumua kuwatetea na kisema fedha hiyo iko kwenye bajeti lakini kiukweli hela hiyo haipo na fungu hilo hakijawahi kufanyiwa bajeti mwaka jana. Spika amedanganya waziwazi.

Pia tumeshuhudia idadi ndogo ya wabunge wakiohudhuria mjadala na kupitishwa kwa bajeti ile. Tunadokezwa kuwa hata jioni siku ya kuipitisha akidi haikutimia lakini spika akaipitisha kwa nguvu.

Sawa tunajua wana ma god father ndani ya chama na wanawahakikishia kuwa matendo yao hayana athari. Je? Hayana athari kwa wananchi? Inawezekana ndani ya CCM hayana athari kwa kuwa hii ndiyo tabia yao kichama lakini yana athari kubwa sana kwa watanzania.

Lakini tunajua na kufahamu kuna mtu ndani ya CCM anapelekewa hii migao ndiyo maana wawili hawa hawana cha kuogopa kwa kuwa wanatoa gawio kwenye rushwa wanazozipokea.

Kuna makosa CCM iliyafanya makubwa sana kurudisha baadhi ya watu waliofukuzwa na kuondolewa kwenye hiki chama kwa kuwa wao wanawaza wizi tu na kufidia muda wakiopoteza walipofukuzwa.

Hatutanyamaza wala kuogopa kusema kwa kuwa tunataka watanzania wajue watu walioko kwenye utumishi wa umma na madudu ya rushwa wanayotafanya ili ikifika siku ya uchaguzi waamue kwa busara kwa kuwa sisi tumetimiza wajibu wetu wa kuwaambia ukweli.
Tunaposemabumasikini wa nchi hii unaendelezwa na waliyo madarakani mambo ndiyo hata sasa.pesa ambazo zingejenga vituo vya afya kusaidia we go zinatumika go to Mana wanaotowa wanajuwa watavyojilipa.maskinibwa kututetea hayupo.
 
Hii nchi itakaa Sawa mpaka vita ya tatu ya dunia ikitokea

Itakapotokea hiyo vita ya tatu, mambo yatakuwa tofaut njaa itakuwa kali nchini hakuna polisi wala asikari yeyote atayekaa kumlinda kiongozi yeyote akiwepo raisi , waziri wala mbunge mambo yatakuwa ovyo ovyo , vita itadumu kipindi kirefu , wengi watu watakufa/tutakufa

Raia hawatojali tena watakimbilia kwenye nyumba za matajiri kuiba vyakula maana wao watakuwa na hakiba ya vyakula na kwa kuwa hawatakuwa na walinzi itakuwa rahisi sana kuvamiwa na raia, hakutakuwa na rahisi wala nini? Nchi haitakuwa na kiongozi yeyote, hakutakuwa na magari maana hakuna hatakayeuza mafuta, dunia nzima itakuwa chafu kwa air-pollution na machafuko mengi ya kimiundo mbinu,vizazi vitapoteana watu waliobakia watakuwa kama machizi mionekano ya kuchakaa na wachafu, hakutakuwa tena na bank yeyote so pesa zako za bank sio kitu tena

Nchi zilee ambazo zitakuwa kinara wa vita hiyo ya tatu hayo mambo ya mabank na pesa zote zitakuwa chini yao na kwa sisi watanzania hautoweza kumtofautisha Tajiri na masikini wote tutakuwa sawa kwa vyote

Ndipo vita itaisha hiyo miaka 25 ya mapigano hapo ndio tanzania itakuwa nchi nzuri na Safi kwa maadili na kuanzwa kujengwa tena upya kwa uzalendo wa kweli Na maadili ya juu kabsa ya mfano wa baba wa taifa, hakutakuwa Na ufujaji pesa za nchi au uhujumu uchumi wala nini? Na tutapata viongozi wazur maana watajua njaa na ubaya wa kudhulumu chochote kilee kipatikanacho katika nchi yake Na baada ya miaka 50 ndio watazaliwa wezi Na matapeli kama tunaowaona sasa hivi wanaotafuna nchi yetu

Hapo tutasubiri vita ya nne ya dunia tena ndio mambo yawe tena vizur Na tutakuwa na mzunguuko huo huo tena Na tena
 
Katika historia ya Tanzania na utumishi wa umma hakujawahi kuwa na wafanyakazi wawili wala rushwa kama waziri January Makamba na Mkurugenzi wa TANESCO bwana Maharage Chande.

Ukiachilia mbali mambo aliyoyasema CAG kwenye ripoti yake na madudu yakiyofanywa na wawili hawa , tumeshuhudia mwishoni mwa wiki hii wakiandika historia ya kugawa rushwa kubwa sana bungeni ili bajeti yao ipite na wasihojiwe kwa lolote japo wizara yao na tanesco ina matatizo lukuki.

Tumeshuhudia;

• wabunge wakihongwa mitungi ya gesi ambayo inafikia jumla ya 1.5bn TZS
•semina mbili(tanesco na EWURA) za kulaghai wabunge siku moja kabla ya bajeti imegharimu 180m TZS
• rushwa aliyopewa Deo Mwanyika kugawia wabunge wiki 3 kabla ya kusomwa bajeti 750m TZS

Tunajiuliza watu hawa wanatoa wapi fedha za kufanya mambo magumu kiasi hiki? Wanawezaje kufanya rushwa waziwazi hivi bila kuogopa?

Kwa mshangao mkubwa sana spika alijitutumua kuwatetea na kisema fedha hiyo iko kwenye bajeti lakini kiukweli hela hiyo haipo na fungu hilo hakijawahi kufanyiwa bajeti mwaka jana. Spika amedanganya waziwazi.

Pia tumeshuhudia idadi ndogo ya wabunge wakiohudhuria mjadala na kupitishwa kwa bajeti ile. Tunadokezwa kuwa hata jioni siku ya kuipitisha akidi haikutimia lakini spika akaipitisha kwa nguvu.

Sawa tunajua wana ma god father ndani ya chama na wanawahakikishia kuwa matendo yao hayana athari. Je? Hayana athari kwa wananchi? Inawezekana ndani ya CCM hayana athari kwa kuwa hii ndiyo tabia yao kichama lakini yana athari kubwa sana kwa watanzania.

Lakini tunajua na kufahamu kuna mtu ndani ya CCM anapelekewa hii migao ndiyo maana wawili hawa hawana cha kuogopa kwa kuwa wanatoa gawio kwenye rushwa wanazozipokea.

Kuna makosa CCM iliyafanya makubwa sana kurudisha baadhi ya watu waliofukuzwa na kuondolewa kwenye hiki chama kwa kuwa wao wanawaza wizi tu na kufidia muda wakiopoteza walipofukuzwa.

Hatutanyamaza wala kuogopa kusema kwa kuwa tunataka watanzania wajue watu walioko kwenye utumishi wa umma na madudu ya rushwa wanayotafanya ili ikifika siku ya uchaguzi waamue kwa busara kwa kuwa sisi tumetimiza wajibu wetu wa kuwaambia ukweli.
Umesahau kwamba wanalindwa na wabunge wa Marehemu?
 
Katika historia ya Tanzania na utumishi wa umma hakujawahi kuwa na wafanyakazi wawili wala rushwa kama waziri January Makamba na Mkurugenzi wa TANESCO bwana Maharage Chande.
Kwa intro hii tu inaonyesha umeandika ushabiki tu na chuki binafsi. CCM wote ni mafisadi hakuna msafi so kusema ni wawili tu unakua muongo.

Hivi Kuna ufisadi mkubwa kama wa Tegeta Escrow au Dowans? Ila waliohusika wote upande wa serikali wapo uraiani wanatumbua pesa.

So acha siasa nyepesi, CCM nzima ni mafisadi solution mpishe sio kudhani ukiondoa mafisadi wawili ndio solution.
 
Sisi tumesha waruhusu kuleni urefu wa kamba zenu. Fanyeni wizi ufisadi mtakavyo ila ipo Siku moja kwa msaada wa Mungu tutapata kiongozi shupavu na shujaa kisha mtazitapika hizo pesa nyie na familia zenu.

Kuna vitu watanzania hatusahau tuna waangalia tuu.
 
Kwani Nani mwenye mamlaka ya kuondoa hao watu hapo na kuweka wengine?
kipindi cha JPM madudu yakifanyika analaumiwa yeye.

sasa hivi hayo madudu yanafanyika wanalaumiwa akina makamba kwanini halaumiwi rais mh. Samia? Kwanini asinyoshewe mkono yeye kwa kuwaacha wahuni kwenye wizara, huyu sio mama huyu ni raisi wa Tanzania lazima akosolewe kama JPM, ukisha mwita mtu mama huwezi mkosoa hata kama anakosea.


Hakuna cha JPM kuharibu wala nini mwenye mamlaka ni huyu aliye madarakani kama anaona ufisadi huo na anauchekea naye ni mwizi tu na anafaidika na huo wizi
 
Katika historia ya Tanzania na utumishi wa umma hakujawahi kuwa na wafanyakazi wawili wala rushwa kama waziri January Makamba na Mkurugenzi wa TANESCO bwana Maharage Chande.

Ukiachilia mbali mambo aliyoyasema CAG kwenye ripoti yake na madudu yakiyofanywa na wawili hawa , tumeshuhudia mwishoni mwa wiki hii wakiandika historia ya kugawa rushwa kubwa sana bungeni ili bajeti yao ipite na wasihojiwe kwa lolote japo wizara yao na tanesco ina matatizo lukuki.

Tumeshuhudia;

• wabunge wakihongwa mitungi ya gesi ambayo inafikia jumla ya 1.5bn TZS
•semina mbili(tanesco na EWURA) za kulaghai wabunge siku moja kabla ya bajeti imegharimu 180m TZS
• rushwa aliyopewa Deo Mwanyika kugawia wabunge wiki 3 kabla ya kusomwa bajeti 750m TZS

Tunajiuliza watu hawa wanatoa wapi fedha za kufanya mambo magumu kiasi hiki? Wanawezaje kufanya rushwa waziwazi hivi bila kuogopa?

Kwa mshangao mkubwa sana spika alijitutumua kuwatetea na kisema fedha hiyo iko kwenye bajeti lakini kiukweli hela hiyo haipo na fungu hilo hakijawahi kufanyiwa bajeti mwaka jana. Spika amedanganya waziwazi.

Pia tumeshuhudia idadi ndogo ya wabunge wakiohudhuria mjadala na kupitishwa kwa bajeti ile. Tunadokezwa kuwa hata jioni siku ya kuipitisha akidi haikutimia lakini spika akaipitisha kwa nguvu.

Sawa tunajua wana ma god father ndani ya chama na wanawahakikishia kuwa matendo yao hayana athari. Je? Hayana athari kwa wananchi? Inawezekana ndani ya CCM hayana athari kwa kuwa hii ndiyo tabia yao kichama lakini yana athari kubwa sana kwa watanzania.

Lakini tunajua na kufahamu kuna mtu ndani ya CCM anapelekewa hii migao ndiyo maana wawili hawa hawana cha kuogopa kwa kuwa wanatoa gawio kwenye rushwa wanazozipokea.

Kuna makosa CCM iliyafanya makubwa sana kurudisha baadhi ya watu waliofukuzwa na kuondolewa kwenye hiki chama kwa kuwa wao wanawaza wizi tu na kufidia muda wakiopoteza walipofukuzwa.

Hatutanyamaza wala kuogopa kusema kwa kuwa tunataka watanzania wajue watu walioko kwenye utumishi wa umma na madudu ya rushwa wanayotafanya ili ikifika siku ya uchaguzi waamue kwa busara kwa kuwa sisi tumetimiza wajibu wetu wa kuwaambia ukweli.
Ndugu unajua kuwa kuna watu hawafiki hata kumi wenye Tanzania yao nasema hivyo kwa sababu hao wakiamua nani awe rais anakuwa

Wakiamua kumuweka januari kuwa mgombea wa urais hamna wa kuwazuia na nadhani unafahamu kuwa mgombea wa ccm ndiyo rais

Watanzania hatuna tunaloweza kuamua kungekuwa na watu wenye uchungu na hii nchi mambo yasingekuwa hivi yalivyo

Hao akina makamba ni mfano wa watanzania wengine wote tuliobaki hawana uchungu na nchi yao wanafanya kwa manufaa binafsi kama tu sisi tusivyojali kuhusu hilo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom