Recent content by samsamwel

  1. S

    JamiiForums Tanzania Tukutane hapa kwa walioshindwa ku-root simu zao

    Mimi nataka kuroot nokia 3, haisomi ktk pc na app za king root na kingoroot zimogoma hata frama , je ipi yafaa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    JamiiForums Tanzania Miracle box

    Habari wana jamvi naomba msaada kwa mwenye miracle box flashing tool for pc anisaidie.niko na mahitaji nayo . Telegram or whatsapp 0753064252 au sam4peny@gmail.com Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    JamiiForums Tanzania Vanilla; yafika $600 kwa kg 1 ikiyapiku madini ya silver yanayouzwa $550 kwa kilo

    Nami pia japo nimechelewa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    JamiiForums Tanzania Msaada wa maelezo kuhusu Speakers za bluetooth

    Ntaipataje na "wazfa" wake Sent using Jamii Forums mobile app
  5. S

    JamiiForums Tanzania Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

    Iko poa sana Sent using Jamii Forums mobile app
  6. S

    JamiiForums Tanzania Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

    Riwaya nzuri sana. Najuta juchelewa kuifahamu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. S

    JamiiForums Tanzania Rooting nokia 3

    Hey naomba msaada jinsi ya ku root nokia 3 yenye android OREO
  8. S

    JamiiForums Tanzania TCRA, kwa sasa kuna 5G kwanini tuendelee kutoa 2G ambayo huchelewesha na kugharimu pesa nyingi?

    Habari, nadhani ni muda mwafaka wa TCRA kuagiza na kuelekezwa makampuni yatakayo huduma za mawasiliano ya simu pamoja na internet kuhakikisha zinatoa kuanzia 3G kila wanapotoa huduma ili kurahisisha kazi na gharama kuliko kuchagua baadhi ya sehemu kubwa na 3G au 4G na kwengine kukubali na low...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Naomba link ya kupakua action drama latest ikiwezekana
  10. S

    JamiiForums Tanzania Vipepeo weusi season 2: From Zurich with rules

    Mh Sent using Jamii Forums mobile app
  11. S

    JamiiForums Tanzania Namba hii ina maana gani? 1.6180339887.

    Boss sijakuelewa, Sent using Jamii Forums mobile app
  12. S

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji wa Clouds, Diva the Bawse afunguka ya moyoni kuwa hawezi kuzaa kisa matatizo kwenye uzazi

    Dola 7000 nahisi ni gari mbili tu ndogo za kutembelea za makapuku kama sisi, nakumbuka pia alishajinadi huyu binti kwa mwanaume wa kumuoa aweze kumlipia mahali mamilioni kadhaa.... Nahisi mabinti wa kitanzania mnatakiwa kujitathmini na kuthamini maisha. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. S

    JamiiForums Tanzania External hard disc anguka na kusabisha kutokusoma

    Call sam4peny@gmail.com or email me on the address
  14. S

    JamiiForums Tanzania External hard disc anguka na kusabisha kutokusoma

    Sahihi, wengi wanaweza kula pesa yako na kuiharibu zaidi. Its better umpate ajuaye . If me ningeifungua na kubaini tatizo NDO naenda kwa mtaalam wa hardware
  15. S

    JamiiForums Tanzania Kuongeza SD card na RAM bila Root

    Nahisi huelewi unachokisema hapa au umekosa msamiati sahihi, kifupi huweziongeza uwezo/ukubwa wa SD card. Hiyo memory circuit ishatengenezwa tayari na chapa ity hyo, hizo adds zinazokuja kti CM yako za kutaka uweze "kurefresh" ku clean cache na kumbukumbu zingine zinazofanana na hizo ambayo...
Back
Top Bottom