Hakuna kitu kama hicho cha kuziba labda muanze kungoa vile vyuma vya kuziba takataka mukauze, hii ndio mitaro inayotakiwa kujengwa ambayo inazibwa na sio ile inayojengwa na tanroad ikawa wazi na kusababisha ajali mbaya za barabarani
Kwani hii dini ya ukiristo imekaa kiuchiuchi? Mpaka waislamu wote wanaikashifu, huko mbeya nadhani hao viongozi wamekosa macho wanangalia kwa visigino vya miguu.
Hebu someni hapa nyinyi viongozi wa mkoa wa mbeya:
WAKRISTO WAACHE KUTULETEA POROJO ZAO ZA KANISANI,ukristo ni dini ya...
Kwanini magazeti yanaiyumbisha nchi hii? Nani anayasimamia? Wala haitoshi kufungiwa tuu au kuhojiwa kwa viongozi wake. Haya magazeti na vyombo vya habari ndio hanzo cha maafa nchi hii?
Tunayashuhudia mengi wanayoaandika yaliyokua si ya ukweli lakini hakuna hatua za kukidhi zinazochukuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.