Govt: No Foreign Terrorists in Ukerewe

Govt: No Foreign Terrorists in Ukerewe

hawa watu wamekosa sera kabisa kwan ni waislam pekee ndio wanajifunza hizo kung fu? aliyesoma gazet la MTANZANIA huyu mwandika makala kama unamfuatilia alichokiandika ni sawa na mwanakijiji
 
Kama jamaa anachosema ni kweli basi mwenzetu hujuiunaongea nini!!!

Hujawahi kuona video za al quaeda huko Pakstani?? Unafikiri ugaidi nizaidi ya kutengeneza mabomu. Kuna mafunzo mengine kama ya self defense na combat huwa yanatolewa!!!


Tanga kunasehemu moja Raskazone ni msikiti na pembeni jioni waumini wanafundishwa kucheza na mapanga na karate,Arusha kunamsikiti kama huo wa Tanga (ANSAAR) nyuma ya soko la Kilombero Arusha wanajifunza mafunzo hayohayo kwa siri,eneo la mita chache kutoka soko la Kilombero maeneo ya makaburi ya baniani ,barabara ya sokoni one upo mwingine na mafunzo ni hayohayo ,nyuma ya kanisa moja ka katoliki Paloti sokoni one upo msikiti mwingine wanajifungia ndani na kucheza karate na kujifunza kutumia mapanga baada ya hapo usiku huwa wanaangalia cd za kukashifu ukristo na baadhi kutoka nje! Moshi mjini maeneo ya Mabogini kuna msikiti mambo ni hayahaya! Ukienda Morogoro mjini na maeneo mengine ya nchi ndio usiongee! Je kweli kama hawa ndugu zetu wanayoyafanya ni halali? Kwanini ni kwakujificha? Nakama wanania njema kama wanavyodai ni chuo ? Mbona ni wao tu? Na hakuna waumini wa dini au madhehebu mengine? Tutajuaje au tutasadiki vipi wengine kama sio mafunzo yao yanamrengo wa kigaidi? Sijui kama serikali inafuatilia hili! Najua TISS,CID'S na wanausalama wengine wa taifa kama Rajab,Pascal, Berts na Hemed na wengine mnapitia humu saa nyingine, hivyo si vibaya kuyafanyia kazi haya haraka! Kumbukeni "time and tides wait for no man" vinginevyo taifa linatafunwa na ugonjwa ambao stage yake ni pre-mature unaweza kuzuilika!
 
Sasa kama ndo hivyo wachina wote ni magaidi. Au ndo kila jambo afanyalo mwislam ni ugaidi eeh haya kama tutafika kwa mwendo huu bila ya kugawana nchi

Hayo ya wachina unazungumza wewe. Sijui kama bado wanafanya hivyo mpaka sasa .................... kama walifanya zamani kama taifa lazima walikuwa na malengo yao na huwezi nidanganya kuwa walifanya kama self defense between themself. Sasa kwa kuwa umekubali kuwa waislamu wanafanya labda utuambie wanafanya kwa malengo gani?? Haiwezekani wakawa wanafundishwa bure unless utuambie kuwa ni sehemu ya mafundisho ya dini!!!
 
Habari wakuu!

Kutokana na tetesi zilizokuwa zimesambazwa na gazeti la Mtanzani toleo la tarehe 13.02.2013 na tarehe 20 mwezi huu imethibitika Aljazeera Islamic Centre kilichopo Nansio kwenye kisiwa cha Ukerewe hakijishughulishi na ugaidi. Gazeti la Mtanzania liliandika upotoshaji kwamba chuo hicho kilichojengwa kwa hisani ya nchi za kiarabu kinatoa mafunzo ya kushambuliana kwa silaha aina ya jambia.

Pia gazeti liliandika kuwa chuo hicho kina ushirika na Alqueda na Al shabaab wanashiriki ugaidi. Mwenyekiti wa chuo hicho,Sheikh Ramadhan Salum Mazige ambaye pia ni diwani wa Nansio (CCM) amekanusha vikali habari hizo na kulitaka gazeti likanushe haraka kwani ni uchonganishi wa wazi.

Pia mmoja kati ya waanzilishi Mzee Jabil Katula amesema chuo hicho hakitoa mafunzo ya kigaidi na sheria zote zilifuatwa katika kuanzishwa kwake, serikali pia inatambua na DC na RC kwa miaka tofauti wamehudhuria mahafali...

(Source:Radio Times Fm)
 
Isingekuwa 'udini' ningewasihi TISS wajiinftrate lkn akienda muislamu au hata mkristu you can guess matokeo yatakayopatikana; labda tutafute mbudda ndio akapeleleze.
 
mafunzo yanatolewa misikitini tu na sio chuoni!
 
Habari wakuu! Kutokana na tetesi zilizokuwa zimesambazwa na gazeti la Mtanzani toleo la tarehe 13.02.2013 na tarehe 20 mwezi huu imethibitika Aljazeera Islamic Centre kilichopo Nansio kwenye kisiwa cha Ukerewe hakijishughulishi na ugaidi. Gazeti la Mtanzania liliandika upotoshaji kwamba chuo hicho kilichojengwa kwa hisani ya nchi za kiarabu kinatoa mafunzo ya kushambuliana kwa silaha aina ya jambia.Pia gazeti liliandika kuwa chuo hicho kina ushirika na Alqueda na Al shabaab. Mwenyekiti wa chuo hicho,Sheikh Ramadhan Salum Mazige ambaye pia ni diwani wa Nansio (CCM) amekanusha habari hizo na kulitaka gazeti likanushe haraka kwani ni uchonganishi wa wazi.Mmoja kati ya waanzilishi Mzee Jabil Katula amesema chuo hakifundishi ugaidi na sheria zilifuatwa ktk kuanzishwa kwake, serikali pia inatambua na DC na RC kwa miaka tofauti wamehudhuria mahafali...Mb. Machemli (CHADEMA) amesema 'Mtanzania' wawajibike.(Source:Radio Times Fm)
 
Kwani kuna chuo ambacho kipo registered ku-train magaidi?
 
Hata kama nin kweli, kuna anayeweza kukubali jambo hili apelekwe guantanamo bay? Sio rahisi kukubali...Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa jambo hili ni kweli, kuliko kutokuwa kweli. Kwa vyuo vyote kwa nini wataje hapo??? Nadhani tunahitaji intelijensia ifanye kazi kweli kweli kujua ukweli...
 
Sioni ajabu kwa mh Diwani Ramso kukanusha, kwasababu pale Nansio yeye nisawa na Mungu mtu....
 
Marire. Mzee Jabil Katula amesema huo ni mwanzo tu wa kujenga vituo lakini mpaka sasa wahisani toka Uarabuni wamesaidia kujenga misikiti maeneo mengi mfano Lamadi,Musoma,Geita na sasa wana mpango wa kwenda kujiimarisha Kagera.Amedai gazeti la Mtanzania lina agenda mbaya na kwa kiasi fulani limefanikiwa.Namnukuu, "leo hii ukivaa kanzu ukitembea mjini unahisi unasemwa na kila mtu,yote ni kwasababu ya upotoshaji unaofanywa dhidi ya Uislamu.Hii nchi ni yetu sote,tunaitaka serikali izinduke usingizi kwani tunaelekea kubaya.Viongozi wa serikali,usalama wa taifa na jamii kwa ujumla wanajua kituo chetu hakina masuala ya kigaidi.Pia hata tukipata msaada wa chakula na mavazi tunagawa kwa wananchi wote,na nitashangaa kama kuna wenzetu wanaona wivu kwani wao wanapata misaada mingi kuliko sisi"
 
Last edited by a moderator:
Gazeti hili ni la kikafiri unategemea nini? Tutafika pahali hata haya magazeti yanayofadhiliwa na dini nyengine kama Tanzania daima hatutonunua tena.
 
Sasa hayo mafunzo ya kupigana kutumia majambia ni kwaajili ya nini? hayo mafunzo yatakuwa na tija gani kwa taifa?
 
hivi ni kiongozi gani wa serikali hii anasema ukweli,hapo chuoni watu wanafundishwa judo, kutumia majambia, na kuna wakati kunamagari huingia usiku sana yakiwa na mizigo isiyofahamika, hapo kuna mpaka watoto kutoka uganda, wengine walitoroka usiku wa manane baada ya kudanganywa watapewa udhamini wa kusoma abroad.... hapo ni ugaidi tu hakuna cha maana;
 
Kuna shekhe mmoja kasema kuna waislam wamegeuza uislam kuonekana dini ya wahuni kwa kufundisha kung fu ndani ya msikiti hiyo ni kweli?
 
Habari wakuu!

Kutokana na tetesi zilizokuwa zimesambazwa na gazeti la Mtanzani toleo la tarehe 13.02.2013 na tarehe 20 mwezi huu imethibitika Aljazeera Islamic Centre kilichopo Nansio kwenye kisiwa cha Ukerewe hakijishughulishi na ugaidi. Gazeti la Mtanzania liliandika upotoshaji kwamba chuo hicho kilichojengwa kwa hisani ya nchi za kiarabu kinatoa mafunzo ya kushambuliana kwa silaha aina ya jambia.

Pia gazeti liliandika kuwa chuo hicho kina ushirika na Alqueda na Al shabaab wanashiriki ugaidi. Mwenyekiti wa chuo hicho,Sheikh Ramadhan Salum Mazige ambaye pia ni diwani wa Nansio (CCM) amekanusha vikali habari hizo na kulitaka gazeti likanushe haraka kwani ni uchonganishi wa wazi.

Pia mmoja kati ya waanzilishi Mzee Jabil Katula amesema chuo hicho hakitoa mafunzo ya kigaidi na sheria zote zilifuatwa katika kuanzishwa kwake, serikali pia inatambua na DC na RC kwa miaka tofauti wamehudhuria mahafali...

(Source:Radio Times Fm)

Sasa mbona husemi kinatoa mafunzo gani...?
 
Gazeti hili ni la kikafiri unategemea nini? Tutafika pahali hata haya magazeti yanayofadhiliwa na dini nyengine kama Tanzania daima hatutonunua tena.

Sasa naanza kupata shida na tafsiri ya hilo neno hapo juu, mmiliki wa hili gazeti si ni Rostam Aziz, kumbe naye ni Kafiri!?
 
Al jazeera islamic centre-Nansio(ukerewe) kilijengwa kwa ajili ya kuwaanda waislamu kufanya matukio ya kimafia.Jabil katula na Ramadhan salum hawataweza kuificha siri hii,mwisho wenu umefika,mtaandamwa kila kona mpaka mkimbilie somalia.
 
Back
Top Bottom