Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 683
Ndugu Consigliere, unamaanisha nini?Serikali haitathubutu kuwaita Scotland Yard.
Last edited by a moderator:
Ndugu Consigliere, unamaanisha nini?Serikali haitathubutu kuwaita Scotland Yard.
Usalama wa Taifa tunaulipa mishahara ya kazi gani? Tunashindwaje kukamata wa halifu wenyewe mpaka tuagize watu kutoka nje? Hawa watu kiusalama tunawaamini vipi?o Watanzania tunahitaji kufanya maamuzi ya haraka sana na siyo lazima 2015 hata sasa ikibidi tufanye hivyo, kwa hali hii nchi ulinzi ni zero... Aliyesema JK ni chaguo la mungu na alaaniwe milele... Tunawalipa kiasi gani cha fedha na zinatoka wapi? Wanakaa kwa siku ngapi? Taifa liwekwe wazi!
Mkuu nikiwa kama raia wa tanzania sikubali hata mara moja kuhusiana na hili.hii siyo ishara nzuri ni bora vyombo vyetu vikafanya kazi ndo wakihitaji msaada ndo wawaite wenzetu.sikubali hata mara moja na nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa vyombo vyetu vimeshindwa nina imani navyo sana.
Ila nadhani tuwe watu makini katika kuhakikisha maamuzi mengine ya kisiasa hayatuadhiri mustakabathi wa nchi yetu. Hii natolea mfano kwa wenzetu wa kenya wao walikataa mara nyingi hata kama ulibahatika kumsikiliza wagombee wa urais kwenye mdahalo walitaka kwanza wale watu waliopelekwa hague watendewe haki kenya na sio the hague. Lazima tuvipe kipaumbele vyombo vyetu kwanza ndo tukishindwa tuombee msaad. Tanzania nakupenda sana
Mkuu nikiwa kama raia wa tanzania sikubali hata mara moja kuhusiana na hili.hii siyo ishara nzuri ni bora vyombo vyetu vikafanya kazi ndo wakihitaji msaada ndo wawaite wenzetu.sikubali hata mara moja na nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa vyombo vyetu vimeshindwa nina imani navyo sana.
Ila nadhani tuwe watu makini katika kuhakikisha maamuzi mengine ya kisiasa hayatuadhiri mustakabathi wa nchi yetu. Hii natolea mfano kwa wenzetu wa kenya wao walikataa mara nyingi hata kama ulibahatika kumsikiliza wagombee wa urais kwenye mdahalo walitaka kwanza wale watu waliopelekwa hague watendewe haki kenya na sio the hague. Lazima tuvipe kipaumbele vyombo vyetu kwanza ndo tukishindwa tuombee msaad. Tanzania nakupenda sana
mkuu kama niko sawa and i stand to be corrected kuna issue inaitwa state soveregnity. na pili ingekuwa bora hizi statement za kuomba msaada zitoke kwa watawala wenyewe na sio kwa political figures
Hii mishenzi inaanza kutuletea taabu, ona sasa serikali inaingia ktk garama kwa sababu ya wapuuzi hawa.
Hapana acha FBI waje mana wapelelezi wetu police na majeshi yote yanafanya kwa maelekezo ya ccm na kuweka weledi kando hawa watachimbua swala lote na kuwakamata uamsho na mizizi yao yote including Ilunga hawa jamaa wanafanya kwa weledi sio kisiasa!!
akina nani hao ulowapa jina baya na moderators wanakukenulia meno tu
Wavaa kanzu sasa hivi yanagonga yanarudi
Mkuu nikiwa kama raia wa tanzania sikubali hata mara moja kuhusiana na hili.hii siyo ishara nzuri ni bora vyombo vyetu vikafanya kazi ndo wakihitaji msaada ndo wawaite wenzetu.sikubali hata mara moja na nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa vyombo vyetu vimeshindwa nina imani navyo sana.
Ila nadhani tuwe watu makini katika kuhakikisha maamuzi mengine ya kisiasa hayatuadhiri mustakabathi wa nchi yetu. Hii natolea mfano kwa wenzetu wa kenya wao walikataa mara nyingi hata kama ulibahatika kumsikiliza wagombee wa urais kwenye mdahalo walitaka kwanza wale watu waliopelekwa hague watendewe haki kenya na sio the hague. Lazima tuvipe kipaumbele vyombo vyetu kwanza ndo tukishindwa tuombee msaad. Tanzania nakupenda sana
Usalama wa Taifa tunaulipa mishahara ya kazi gani? Tunashindwaje kukamata wa halifu wenyewe mpaka tuagize watu kutoka nje? Hawa watu kiusalama tunawaamini vipi? Watanzania tunahitaji kufanya maamuzi ya haraka sana na siyo lazima 2015 hata sasa ikibidi tufanye hivyo, kwa hali hii nchi ulinzi ni zero... Aliyesema JK ni chaguo la mungu na alaaniwe milele... Tunawalipa kiasi gani cha fedha na zinatoka wapi? Wanakaa kwa siku ngapi? Taifa liwekwe wazi!