Naombeni msaada mfano wa maswali kwenye written interview kwa waliowahi kufanya interview kama data analyst, pia system developer angalau tupate pa kuanzia
Unaweza ukasoma hio, ukishamaliza unasoma postgraduate ya ualimu mwaka mmoja tena, unakuwa mwalimu wa physics, vinginevyo bsc physics ajira hakuna, waliosoma wanajitolea kufundisha physics japo sio walimu. Na wengine wana vibanda
Wadau, naomba kufaham ni driver zipi zinatumika kwenye hio mashine hapo juu ukiwa unatumia usb cable. OS-window 10 [64 bit] maana nimejaribu PCL6 na UFR II nainstall kila zikifika mwisho inaleta usb not recognized
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.