Recent content by Sam1996

  1. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: UDOM kupunguza programme degree za ualimu, sasa zitabakia nne tu

    Sasa mbona hata hiyo ICT uliyoandika inaondolewa
  2. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: UDOM kupunguza programme degree za ualimu, sasa zitabakia nne tu

    Mb Mbona hiyo BED ICT wanaitoa, kwani ina shida gani
  3. S

    JamiiForums Tanzania Tupeane nondo kwa waliowahi fanya usaili nafasi za data analyst na system developer

    Naombeni msaada mfano wa maswali kwenye written interview kwa waliowahi kufanya interview kama data analyst, pia system developer angalau tupate pa kuanzia
  4. S

    JamiiForums Tanzania Maswali ya usaili written kwa data analyst na system developer

    Naombeni msaada, sample ya maswali ya usaili data analyst na system developer
  5. S

    JamiiForums Tanzania Nina Division Two ya point 10 (PCB)

    Unaweza ukasoma hio, ukishamaliza unasoma postgraduate ya ualimu mwaka mmoja tena, unakuwa mwalimu wa physics, vinginevyo bsc physics ajira hakuna, waliosoma wanajitolea kufundisha physics japo sio walimu. Na wengine wana vibanda
  6. S

    JamiiForums Tanzania Nina Division Two ya point 10 (PCB)

    Sio ua Sio ualimu huo
  7. S

    JamiiForums Tanzania KWELI Picha hizi za milima moja imetumia Akili Mnemba na Nyingine ni picha halisi

    Picha A ni AI generated sababu ukiangalia background yake haionekani kuwa na uhalisia ukilinganisha na picha B
  8. S

    JamiiForums Tanzania Akili kumi za kuiteka pesa

    Uzi makini sana, wacha tusubiri watekaji wengine wanasemaje
  9. S

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Kwani ukisema mheshiwa Daktari hatuwezi kuelewa, hadi useme kipenzi
  10. S

    JamiiForums Tanzania Canon ir 3025 drivers for printing

    Wadau, naomba kufaham ni driver zipi zinatumika kwenye hio mashine hapo juu ukiwa unatumia usb cable. OS-window 10 [64 bit] maana nimejaribu PCL6 na UFR II nainstall kila zikifika mwisho inaleta usb not recognized
  11. S

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutumia ajira portal msaada unaitajika

    Sorry nauliza, other attachments kwenye ajira portal waga wanaweka vitu gani
Back
Top Bottom