It depends om how you look at it... serikali inamiliki 100% ya Tanesco. Kama unaendesha nchi kama empire it sounds very stupid kwa idara za serikali kulipa umeme... ni sawasawa na mfugaji kununua mayai yake mwenyewe na baadaye kurudisha hizo hizo hela mfukoni mwake. Plus, serikali bado inaipa...