Upuuzi huo kwanza Huna mume ndo maana unasema hvo. Wanawake wenye waume huwa hawaongei ovyo dhidi ya waume zao km ufanyavyo ww ni kiruka njia tu Huna mume
Hao wauaji wa Kibiti wanatokea wapi wasikamatwe na mikono ya Dola? Kweli wanatamba kiasi hicho kana kwamba hii nchi ni ya kwao wanafanya watakavyo! !! That's too much Our Government must take strong and serious action
Hawezi kuwa na masikio 100 kweli hakuna mtu mwenye uwezo huo lakini mbona wa upinzani akiwasha Mic na kuongea km huyo wa leo huyo huyo mwenye masikio mawili anasikia? Inakuwaje leo hajasikia mnyika kuitwa mwizi? Hapo unapata picha halisi kwa nn spika wa Bunge asitokane na Chama cha siasa kama...
Njoo Singida (w) Iramba jaribu na Misigiri barabar kuu ya lami kwenda Mwanza-Dodoma mm nije Moshi (v) au Manispaa Idara Sekondari Km uko tayari nitafute kwa Simu 0786 502450
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.