Mchungaji Rwakatare aapishwa kuwa Mbunge wa Viti Maalumu(CCM)

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
caee886b-f53e-4bec-8dea-e31a567038f2.jpg

Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb) amemuapisha Mbunge wa kuteuliwa Mchungaji Getrude Rwakatare leo Bungeni Mjini Dodoma.

Mama Rwakatare amepata nafasi ya uteuzi huo baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumfuta uanachama aliyekuwa Kiongozi wa UWT, Bi. Sophia Simba hivyo kwa mujibu wa sheria za uchaguzi Sophia Simba akapoteza sifa ya kuwa Mbunge kwakuwa si Mwanachama wa chama chochote. Hivyo Tume ya Taifa ya Uchaguzi ikamteuwa Mchungaji Rwakatare kuchukua nafasi hiyo.
 

Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb) amemuapisha Mbunge wa kuteuliwa Mchungaji Getrude Rwakatare leo Bungeni Mjini Dodoma.

Mama Rwakatare amepata nafasi ya uteuzi huo baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumfuta uanachama aliyekuwa Kiongozi wa UWT, Bi. Sophia Simba hivyo kwa mujibu wa sheria za uchaguzi Sophia Simba akapoteza sifa ya kuwa Mbunge kwakuwa si Mwanachama wa chama chochote. Hivyo Tume ya Taifa ya Uchaguzi ikamteuwa Mchungaji Rwakatare kuchukua nafasi hiyo.

Hivi ni tume ya uchaguzi ndiyo imemteua Mchungaji Rwakatare au ni Chama Cha Mapinduzi kwa mwongozo wa Tume
 

Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb) amemuapisha Mbunge wa kuteuliwa Mchungaji Getrude Rwakatare leo Bungeni Mjini Dodoma.

Mama Rwakatare amepata nafasi ya uteuzi huo baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumfuta uanachama aliyekuwa Kiongozi wa UWT, Bi. Sophia Simba hivyo kwa mujibu wa sheria za uchaguzi Sophia Simba akapoteza sifa ya kuwa Mbunge kwakuwa si Mwanachama wa chama chochote. Hivyo Tume ya Taifa ya Uchaguzi ikamteuwa Mchungaji Rwakatare kuchukua nafasi hiyo.
Safi Sana
 
vyama vyote vilishapeleka majina huko NEC kwa mtiririko wa matakwa ya vyama husika so nadhani yalipoishia majina ya viti maalumu ccm lililokuwa linafuata ni la Mchungaji lwakatare
Kama alieishia kahamia chama kingine unazan inakuaje au kama kafa je, mbn maccm mnapenda kujitoa ufahamu jameni
 
Yani sijui Tanzania imemkosea Mungu nini..yani tunaendelea kuongeza idadi ya watu ambao sitegemei kama watakuwa na michango + kwa nchi.
 
Tume inakuteua bila KUSHAURIANA na Chama husika??! Uliona wapi hii, au unajitoa ufahamu tu?!
Tume haihitaji kushauriana na chama chochote nafasi za viti maalumu zikiwa wazi.kisheria vƴama hupeleka majina kwa ranking za kura walizopata nɗani ya chama rwakatare alishika nafasi ya pili ɓaaɗa ya sofia simɓa.hata chaɗema wana mbunge viti maalumu aliyefariki nafasi yake itajazwa na aliyemfuatia kwa kura za chaɗema kwenye majina yaliyopelekwa tume na chaɗema.Tume haihitaji ƙiƙao na Chaɗema cha nani awe mɓunge viti maalumu list wanayo
 

Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb) amemuapisha Mbunge wa kuteuliwa Mchungaji Getrude Rwakatare leo Bungeni Mjini Dodoma.

Mama Rwakatare amepata nafasi ya uteuzi huo baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumfuta uanachama aliyekuwa Kiongozi wa UWT, Bi. Sophia Simba hivyo kwa mujibu wa sheria za uchaguzi Sophia Simba akapoteza sifa ya kuwa Mbunge kwakuwa si Mwanachama wa chama chochote. Hivyo Tume ya Taifa ya Uchaguzi ikamteuwa Mchungaji Rwakatare kuchukua nafasi hiyo.
Hongera mama Rwakatare role moɗel wa wanawake kuwa wanaweza ana makanisa na mashule kibao amevamia eneo lililokuwa liƙionekana kama mens lanɗ only iwe kanisani au kumiliki mashule na vyuo vikuɓwa kaweza .Rwakatare mwanamke wa shoka apewe hata uwaziri
 
Maji hufuata mkondo na mwenye nacho huongezewa..
Ngoja niendelee kupalilia mahindi tuu
 
Kama alieishia kahamia chama kingine unazan inakuaje au kama kafa je, mbn maccm mnapenda kujitoa ufahamu jameni
kama kafa kuna ambae anafuata halafu kujua utaratibu sio kuwa ccm ni kujibidiisha tu . vyama vyote hupeleka orodha NEC . usizoee kuwaza kama kinda la njiwa
 
Nauliza tu na huyu Mama naye ni Dr.Wa Mifugo gani??Maana alikuwa Katibu Muhtasi mpaka udaktari! MH!
 
Hili bunge ndiyo maana halina ufanisi, huyu mama sijaona mchango wake bungeni toka ateuliwe kwa mara ya kwanza 2008 na 2010.
 
kama kafa kuna ambae anafuata halafu kujua utaratibu sio kuwa ccm ni kujibidiisha tu . vyama vyote hupeleka orodha NEC . usizoee kuwaza kama kinda la njiwa
Kwa hyo NEC watajua huyu kafa au huyu amehama bila ku consult na chama au, ivi nyie maccm mnatumia kifaa gani kwa ajili ya kufikiria
 
Back
Top Bottom