Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,368
umalaya tuuu...nyauu !!!!!!!....
Na ukiendelea kufanya tendo la ndoa mumeo ilihali sio baba wa Kiumbe hicho ataweza kusababisha ujifungue mtoto Mwenye mabaka meusi kwa sababu ya shahawa za mumeo zinakuwa zinaunguza mfuko wa mimba kwani hizo hazitakuwa rutuba kwa Huyo mtoto ila endelea kumpa uroda msaficha kucha ili aendelee kutoa rutuba kwa Mwana huyo kwani ndio muhusika wa ujauzito
Wewe sasa ndio unapotosha umma shahawa zina protein kibaoMkuu acha kudanganya wewe. Mimba ikisha ingia hakuna rutuba yoyote itayotoka kwenye shahawa. Mkuu hujasoma Biology hata ya kidato cha 4?
Wewe sasa ndio unapotosha umma shahawa zina protein kibao
Mtoto anakula haliNdio zina protein lakini haziwezi kuingia ndani ya mji wa mimba. Mimba ikashatungwa basi shahawa hazina kazi tena katika ukuaji wa mtoto. Acha upotoshaji
Aaaa kama anakula basi tulia na unatakiwa kujua kama shahawa za baba ni rutuba kwa mtoto tumboniAnakula. Lakini hali shahawa,.



Soma taratibu Mkuu. Hujanielewa kabisa hapoNdoa yenyewe miaka minne lakini una watoto watatu, wewe ni mashine ya kutotoa kww hiyo zaa tu na ikiwezekana unipe na mimi tuzae wote mtoto wa tano