William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Weka hapa screenshot ya tangazo la Vodacom kutoka kwenye ule uchafu unaoita blog kisha uweke na link yake hapa!!!
Halafu watu wakikulipia nauli unadhani wanakuona ni very special kumbe wanafanya hivyo ili uwe kivutio!!! Hivi wewe una nini cha maana cha kukufanya mtu akulipie nauli?! Kichwani, hazipo! Blog yako mbovu na wala haina sifa za blogs kwa wanaofahamu masuala ya blogging! Instagram page yako hakuna cha maana unacho-post zaidi ya ujinga!! Halafu kama unaona mtu au taasisi wanakulipia nauli hujiulizi wanafuata nini kwako?!
- hahahahahaha mkuu mimi sio mada naona unanitoa kwenye mada, mada hapa ni hapa kipindi cha Jumatatu cha RC kitarushwa nakuuliza unao ubavu wa kukizuia?
- Ukitaka kunijadili mimi na my blog fungua thread hii haihusu hii nakuleteea yanayohusu kipindi Jumatatu tu hahahahahahah
le Mutuz