Recent content by Salymmom

  1. Salymmom

    Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

    Mi ukisoma kwa makini unaelewa ni jina la mwanangu kipenzi Salym
  2. Salymmom

    Tabia za wanaoandikia kushoto

    Ni kweli mi jicho langu la kushoto hutoa machozi mengi kuliko la kulia huwa najishangaa sana kumbe sababu ya mkono
  3. Salymmom

    Tabia za wanaoandikia kushoto

    Mbona unanitisha jamani ina maana nnaweza nisifike uzeeni?
  4. Salymmom

    Bozi: Wema Sepetu niachie Bob Junior wangu tafadhali

    Bob junior yupo na sabby angel sasa huyo bozi katokea wapi?
  5. Salymmom

    Chuchu Hans Afunguka kuachana na Ray

    Bora chuchu alivyoachwa maskini na kodi ray kakataa kumlipia sina uhakika kama kweli umbea huo niloiona kwenye fun page ya johari
  6. Salymmom

    Nimemuachia bill mchunaji

    Ndio nimekulia huko nimemaliza O level Hijra ipo chinangali
  7. Salymmom

    Picture story: Ni tamuuu...

    Nimeipenda inaeleweka haraka
  8. Salymmom

    Je ni haki kumlaumu aliyepatwa na janga la ukeketaji?

    We kweli mtambo sikuwa na nia ya kucheka ila unenifanya ni cheke sana eti shimo
  9. Salymmom

    Nimemuachia bill mchunaji

    Kama napaona double H mi na shost yangu tushawahi kukimbiwa ila tukaja kumkamata maisha club na binamu yake ilibidi rafiki yangu avunje mkataba maana alishazoea kumtapeli rafiki yangu
  10. Salymmom

    Siku tatu tofauti naota nafunga ndoa kanisani na marehemu mchumba wangu

    Na huyo anaweza kumfufua kabisa Gwajima ana drama nyingi kweli kwa upande wangu mi simuamini kabisa
  11. Salymmom

    Majanga haya sasa mengine

    Umalaya hata wewe ni malaya mwenzangu hujalazimishwa kusoma na huwezi kinipangia chochote cha kuandika shwaini wewe
  12. Salymmom

    Majanga haya sasa mengine

    Tunayaongelea bar tukishamaliza box zetu mbili za penasol
  13. Salymmom

    Vi-Bajaji vya Mohammed Enterprises vina kelele mno!

    Kwani maji poa anatengeneza nani?
  14. Salymmom

    Majanga haya sasa mengine

    Kweli wanaume mko tofauti mi mwanangu ana 5yrs now tangu ana mwaka mmoja na miezi mitatu anahudumiwa na baba wa kufikia kuanzia kula yake,vaa yake mpaka shule anasomeshwa na baba wa kufikia na baba yake yupo hai na ana kazi nzuri kuliko huyu babaake wa kambo anachojua yeye kutuma hela ya nguo...
Back
Top Bottom