Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
kalipie ada ndugu, mtoto ni malaika wa Mungu, usipolipa utatenda dhambi
this is too much asipolipa anatenda dhmbi? lol
kalipie ada ndugu, mtoto ni malaika wa Mungu, usipolipa utatenda dhambi
this is too much asipolipa anatenda dhmbi? lol
Nimeingia kwenye uhusiano na mdada mmoja alikua ameolewa sasa ameachana na jamaa yake na walibahatika kuzaa mtoto mmoja, sasa huyu dada haishi na mtoto, mtoto yuko kwa bibi yake Kijijini, nimekua namhudumia kwa kila kitu ni kama UN inavyohudumia wakimbizi na mimi nimekua nahudumia kila kitu.
Hivi Juzi kanieleza mtoto kafukuzwa shule ada inahitajika, sasa nikajiuliza inakuaje nitoe ada tena na baba wa mtoto yupo wadau hii imekaaje? Yaani hadi hamu ya papuchi imeisha p.umbu zote zimeingia ndani mi inabidi nile kona nisije nikafa siku si zangu maana hii mizinga ya syria imenishinda.
Pumba.vu zake, ada shule ya msingi tena kijijini eti alafu anahudumia, hata 20000 haifiki
Kama huna bf/mume naomba nikuunganishe na dogo langu..teeeeh!hata kama mi namtetea babake huyo mtoto yu wapi ? hata ndoa bado ameanza kutwishwa majukumu ya ada?
aisee nasepa
sasa je,mtoto si malaika wa Mungu,kwanini ukae unaralua alipotokeathis is too much asipolipa anatenda dhmbi? lol
Kweli wanaume mko tofauti mi mwanangu ana 5yrs now tangu ana mwaka mmoja na miezi mitatu anahudumiwa na baba wa kufikia kuanzia kula yake,vaa yake mpaka shule anasomeshwa na baba wa kufikia na baba yake yupo hai na ana kazi nzuri kuliko huyu babaake wa kambo anachojua yeye kutuma hela ya nguo za sikukuu tu na akija dar kumuona mwanae ananirubuni eti tuongeze mtoto wa kike hataki kuzaa na wanawake tofauti anapenda starehe akija ni twende club hela utakayotaka utapata ila akiondoka hakumbuki chochote kuhusu mtoto mi nipo kwetu ila namshukuru sana bwana niliyenae kwa matunzo mazuri ya mwanangu japo sijazaa nae
Ndio maana hatupendi wanawake waliozaa, sasa hayo mambo ya tuzae mwingine na twende club mnayaongeleaga wapi
Nimeingia kwenye uhusiano na mdada mmoja alikua ameolewa sasa ameachana na jamaa yake na walibahatika kuzaa mtoto mmoja, sasa huyu dada haishi na mtoto, mtoto yuko kwa bibi yake Kijijini, nimekua namhudumia kwa kila kitu ni kama UN inavyohudumia wakimbizi na mimi nimekua nahudumia kila kitu.
Hivi Juzi kanieleza mtoto kafukuzwa shule ada inahitajika, sasa nikajiuliza inakuaje nitoe ada tena na baba wa mtoto yupo wadau hii imekaaje? Yaani hadi hamu ya papuchi imeisha p.umbu zote zimeingia ndani mi inabidi nile kona nisije nikafa siku si zangu maana hii mizinga ya syria imenishinda.
Kweli wanaume mko tofauti mi mwanangu ana 5yrs now tangu ana mwaka mmoja na miezi mitatu anahudumiwa na baba wa kufikia kuanzia kula yake,vaa yake mpaka shule anasomeshwa na baba wa kufikia na baba yake yupo hai na ana kazi nzuri kuliko huyu babaake wa kambo anachojua yeye kutuma hela ya nguo za sikukuu tu na akija dar kumuona mwanae ananirubuni eti tuongeze mtoto wa kike hataki kuzaa na wanawake tofauti anapenda starehe akija ni twende club hela utakayotaka utapata ila akiondoka hakumbuki chochote kuhusu mtoto mi nipo kwetu ila namshukuru sana bwana niliyenae kwa matunzo mazuri ya mwanangu japo sijazaa nae
eti jembe afrika wakati roho ya jinga africa, UKIPENDA BOGA?
Kama ya shigongo mwee. :-(
Pumba.vu zake, ada shule ya msingi tena kijijini eti alafu anahudumia, hata 20000 haifiki
hahahahahahahaaaaaaaaaHapo kwenye KILA KITU inabidi huyu jamaa wa UN apafanyie revision. Haki haijatendeka.