Tabia za wanaoandikia kushoto

Tabia za wanaoandikia kushoto

Nilisoma na jamaa mmoja anatumia mkono wa kushoto na mguu wa kushoto. Jamaa alikuwa kilaza hakuna mfano ila uwanjani ndiyo ilikuwa winga ya kushoto yakutegemewa. Kwa mtazamo wangu kuwa na akili darasani ni kipaji na malezi.
 
Sina tabia ya kupanic na mwandiko wangu super sana, najiamini kupita maelezo shule utajaza mwenyewe, mapenzi usijaribu utadata bure so please shut up.
 
wanawake wanaoandikia kushoto kwa mujibu wa tafiti hawafiki umri wa ukongwe hufariki mapema na huwaacha waume zao wanaweza fariki kuanzia 59-75 hawabebi mkongojo

Mbona unanitisha jamani ina maana nnaweza nisifike uzeeni?
 
tafiti zaonesha watu wa namna hii majority huwa ama vilaza sana au akili sana


Tafiti Pia zinaonesha wanaondikia na mkono wa kulia huwa ama vilaza sana au akili sana
 
Kama ni ME hupata urahisi kwenye kupata Papu*hi maana dushelele zao zimekaa kama chata ya NIKE so wadada huzipenda sana.

Upande wa KE ni wagawaji wazuri sana pia kwapa zao zinatoka jasho sana.
 
Back
Top Bottom