Majanga haya sasa mengine

Majanga haya sasa mengine

Kweli wanaume mko tofauti mi mwanangu ana 5yrs now tangu ana mwaka mmoja na miezi mitatu anahudumiwa na baba wa kufikia kuanzia kula yake,vaa yake mpaka shule anasomeshwa na baba wa kufikia na baba yake yupo hai na ana kazi nzuri kuliko huyu babaake wa kambo anachojua yeye kutuma hela ya nguo za sikukuu tu na akija dar kumuona mwanae ananirubuni eti tuongeze mtoto wa kike hataki kuzaa na wanawake tofauti anapenda starehe akija ni twende club hela utakayotaka utapata ila akiondoka hakumbuki chochote kuhusu mtoto mi nipo kwetu ila namshukuru sana bwana niliyenae kwa matunzo mazuri ya mwanangu japo sijazaa nae

Hivi siss umekielewa ulichoandika? Umenisononesha hata mie mwanamke mwenzio!
Sorry to say that!
 
Kweli wanaume mko tofauti mi mwanangu ana 5yrs now tangu ana mwaka mmoja na miezi mitatu anahudumiwa na baba wa kufikia kuanzia kula yake,vaa yake mpaka shule anasomeshwa na baba wa kufikia na baba yake yupo hai na ana kazi nzuri kuliko huyu babaake wa kambo anachojua yeye kutuma hela ya nguo za sikukuu tu na akija dar kumuona mwanae ananirubuni eti tuongeze mtoto wa kike hataki kuzaa na wanawake tofauti anapenda starehe akija ni twende club hela utakayotaka utapata ila akiondoka hakumbuki chochote kuhusu mtoto mi nipo kwetu ila namshukuru sana bwana niliyenae kwa matunzo mazuri ya mwanangu japo sijazaa nae
yaan inaonyesha wewe ni malaya tu,hicho ndo nin sasa.so what
 
Usisepe sababu ya ada unless uniambie umemchoka tu dada wa watu, kama unaweza msaidei kama huna just tell her kwamba huna, kama ni muelewa atakuelewa
hawezi nielewa matokeo yake nitakosa na papuchi
 
Mwanamama mjasiriamali huyo. Anaweza akawa anavuta fungu la kumuhudumia mtoto toka kwa mzazi mwenza na bado akachukua kwako vile vile.
Kama umekula papuchi na inalipa kama ya Zari Platinumz hudumia tu, kama hailipi sikushauri...
 
Mwanamama mjasiriamali huyo. Anaweza akawa anavuta fungu la kumuhudumia mtoto toka kwa mzazi mwenza na bado akachukua kwako vile vile.
Kama umekula papuchi na inalipa kama ya Zari Platinumz hudumia tu, kama hailipi sikushauri...
wanawake wamekuwa wasanii sana.
 
Mkuu UN husomesha watoto wa wakimbizi na wewe kama umejifananisha na UN basi huna budi kusomesha huku ukijuwa unamsomeshea mwanaume mwenzio
 
Kweli wanaume mko tofauti mi mwanangu ana 5yrs now tangu ana mwaka mmoja na miezi mitatu anahudumiwa na baba wa kufikia kuanzia kula yake,vaa yake mpaka shule anasomeshwa na baba wa kufikia na baba yake yupo hai na ana kazi nzuri kuliko huyu babaake wa kambo anachojua yeye kutuma hela ya nguo za sikukuu tu na akija dar kumuona mwanae ananirubuni eti tuongeze mtoto wa kike hataki kuzaa na wanawake tofauti anapenda starehe akija ni twende club hela utakayotaka utapata ila akiondoka hakumbuki chochote kuhusu mtoto mi nipo kwetu ila namshukuru sana bwana niliyenae kwa matunzo mazuri ya mwanangu japo sijazaa nae


Ona sasa..! Then uniambie nioe mdada alozalishwa na kidume mwingine..! Khaa....jamaa likija Dar linamega kiulani, huku jamaa na kipato chake kidogo analea malaya..!
Pumbafu kabisa..!
 
Ona sasa..! Then uniambie nioe mdada alozalishwa na kidume mwingine..! Khaa....jamaa likija Dar linamega kiulani, huku jamaa na kipato chake kidogo analea malaya..!
Pumbafu kabisa..!

Naomba niongezee tusi hapo...huyo dada pumbavu kabisa...amenikera sana mkuu
 
Wewe dada ungekuwa mke wangu nahudumia wewe na mtoto wako halafu nikufume upo klabu na zilipendwa wako mnapasha kiporo moto nyote mnatangulia mbinguni(kama mnastahili)...

Ujinga gani huu unaongea mbele yetu, umenikera mno wewe mwanamke!
 
Nimeingia kwenye uhusiano na mdada mmoja alikua ameolewa sasa ameachana na jamaa yake na walibahatika kuzaa mtoto mmoja, sasa huyu dada haishi na mtoto, mtoto yuko kwa bibi yake Kijijini, nimekua namhudumia kwa kila kitu ni kama UN inavyohudumia wakimbizi na mimi nimekua nahudumia kila kitu.

Hivi Juzi kanieleza mtoto kafukuzwa shule ada inahitajika, sasa nikajiuliza inakuaje nitoe ada tena na baba wa mtoto yupo wadau hii imekaaje? Yaani hadi hamu ya papuchi imeisha p.umbu zote zimeingia ndani mi inabidi nile kona nisije nikafa siku si zangu maana hii mizinga ya syria imenishinda.

masai dada njoo uone hukuuuu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom