WANtEd86
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 573
- 325
Maji ya METL huwezi kunywa yakiwa ya moto, inabidi unywe ya baridi ili ule ubaya wake usiusikie sana. METL sio kama AZAM au IPP, METL kamwe hawezi onyesha jinsi viwanda vyake vya chakula au vinywaji vinavyofanya kazi
Kabisa mkuu mfn mdogo angalia mazingira ya kiwanda chake kilichopo tangbovu yan kama shamba flani hivi,hayo ma bajaza dereva akiliendeshe miez 6 lazima apate tatizo la masikio,kelele,mzgo mkubwa na usiombe kikae mbele yko!!haipiti siku ukakikosa kimoja kimeharibika mliman njia panda kawe!