syo siri kwa hili kocha amekurupuka ni bora angewachukua hata awaweke bench sasa hapo keshaigawa starz aambiwe tz kuna simba na yanga japo hakuna maendeleo
waandish nao wanatafta kick tu mbona jery alipokua mwaandish ametukanwa sana hajalalamika tatzo badala ya kuulza kilicho kupeleka unaulza mambo binafs ya nini hayo mambo binafs angemuulza mhusika
hapo mi cdanganyiki waungwana maana habar yenyewe ipo kiaina kipindi kile wana inchi wamechachamaa kuhusu umeme mkatuletea loliondo kikombe sasa mambo ya uchaguzi mnaleta habar za ujambaz mara 170ml hatudanganyiiiiiiiiiiiiki
nakumbuka alisema amekamatwa kiongozi wa panya load akamtaja na jina kumbe kijana wa watu ni mfanya biashara ya viatu karume kova aspende siasa kwenye maisha na roho za watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.