Asante sana Mkuu NasDaz. Hatimaye nimepata! Nimebonyeza bonyeza hadi nikafanikiwa! Laiti ungeniona wakati nilipopata.....ah, nilijiona mshindi. Kwakweli usichokijua ni usiku wa giza.Kwkwikwiiii!! Pole maamuma, lakini nahisi unazani ukibonyeza bonyeza utaharibu!!! haya madudu hayajaumbwa delicate kihivyo, vinginevyo ingekuwa yameharibikia hukohuko!!! mie nilibonyeza bonyeza hadi ikakubali!!!
Shukrani kwa wote waliotoa msaada wa maelezo hapa JF. M'barikiwe.