chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Msemaji wa klabu ya Yanga Jerry Murro amaemtukana mwandishi wa habari wa kike na kumdhalilisaha kijinsia baada ya mwandishi huyo kumuuiza kuhusu habari za mapumziko ya kocha wa Yanga,
na kumuuliza kama anataka akapumzike naye wakati kocha ana mke na watoto
Hii sio habari ya michezo ni habari ya kijamii inayohusu mwandishi wa habari kudhalilishwa moderator msiihamishe jukwaa plz
na kumuuliza kama anataka akapumzike naye wakati kocha ana mke na watoto
Hii sio habari ya michezo ni habari ya kijamii inayohusu mwandishi wa habari kudhalilishwa moderator msiihamishe jukwaa plz