Pole sister kwa yakokukuta lkn usiwaze sana najua ni vigumu kukubaliana na hy hali lkn cha msingi angalia mbele ni vigumu sana kuulazimisha moyo umpende mtu usiyempenda coz love is something "emotional" lkn hakuna jinsi ndo mumeo huna budi kuvumilia naamini with time mtazoeana na hatimae...
Kaka hapo hakuna udini ila ameandika historia ya kweli ya nchi hii sio hiyo unayoifahamu wewe mwlm nyerere was a mere teacher pale pugu sec na alipokuja dar alikuta tayari harakati za kupigania uhuru zimeanza hivyo yy c muasisi wa mapambano hayo nakushauri soma kwanza hicho kitabu hlf ndo uwe...
Duh,this is now going to the "extreme" juma pinto namfahamu vzr sana sasa kweli nchi yetu inakwenda pasipo ni htr sana kwakweli lkn lzm km watanzania tuondokane na huu uozo
Khantwe thanx kwa thread nzr sana its very educative n touching,mm ni mgeni humu JF lkn nimekuwa mara nyingi nasoma thread na comments za members humu ndani nyingi huwa zinafundisha sana
Thats true man kuwa mwanaume c suala la kugegeda tu inabidi kutimiza mahitaji yote yanayohitajika km ilivyoelezwa hata ktk vitabu vyetu vitakatifu vya dini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.