nadhani kila m2 anamaoni yake juu ya suala zima la uchawi,ila kwa mtazamo wangu naona ni bora somo likatolewa kwani likihamasisha ndipo watu wataona umuhimu wake,kwamfano kumsoma mtu anachofikiri.kwa upande wangu mie nipo tayari.
Tunaboresha urafiki kwa wanawhatsapp na wale wote ambao wapo jijini mwanza,hii inaboresha uhusiano wa kiurafiki na ukaribu pamoja na kujenga undugu wa kufahdmiana,lengo ni kusaidiana katika matatizo ya uhusiano na urafiki.karibuni.
imekuwa ngumu kujadili na kuwa na maamuzi sahihi juu ya matatizo na maafa yanayowakumba watu katika urafiki na mahusiano,basi kwa wenye kutumia whatsapp ni bora kujadili na kujifunza pamoja na kubadilishana mawazo.Hii itasaidia kwa kiwango kikubwa kurudisha uhusiano na kutengeneza urafiki...
ushauri 2,nadhan kabla ya kuweka mada husika ni bora kujadili mada nje ya jukwaa,nikimanisha kama kuna watu wanaweza kujadili ktk whatsapp mnaweka kundi la members halafu mnajadilr mkirudi kwny jukwaa mnatabayanisha kile mlicho jadili!naomba mlifikirie hili.
jaribu kutafuta mbinu mbadala kabla huchukua maamuzi ya kununua mafuta,kwani kuna njia na matayarisho tofauti kabla ya kujamiana,hivyo basi tafuta ushauri kwanza,kishd ufanyie kaz.
mpndwa chukua hatua mapema,maana muda upo na hata uwe bila shaka upo,basi fanya hima kumsaidia japoataonyesha kuwa hana tena tamaa,ila mpiganie,kwani madawa ya kienyeji tele na hata ya mahosipitali yapo!kwa msaada jariau kufuatialia kipindai cha radio chaitwa upepo wa mahaba,kuna doctore anauza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.