Hakuna kitu kinaniudhi kwenye Mwendo kasi kama yule mtu aliyekaa pale anachat na simu yake masaa yote, eti anasubiri kuchana tiketi ya abiria. Machine zimekwenda wapi? Kweli unamlipa mtu mshahara wa kuchana tiketi tu? Nchi ya kusadikika ?????
Ndio nyie wapenda njia za mkato. Kwa uvivu huo wa kusoma andiko fupi kama hili, si ajabu kwako kutafuta mafuta au maji ya upako ili uwe tajiri ukiwa umelala bila kufanya kazi. Ondoa hiyo aibu, kusoma ni kujiongezea MAARIFA. Acha uvivu wa akili.
Kwa hiyo wewe kinakuuma nini? Hukutaka aelimike? Kila mtu huwa ana pa kuanzia kabla ya kufikia mafanikio. Na yeye Harmonize pa kuanzia kwake palikuwa WCB, sasa kapata uzoefu kwa nini asisimame mwenyewe? unataka amtegemee Diamond mpaka lini? Nenda Harmonize kapambane kivyako. Jua tu kuna...
Kama Uislamu raha kwenye urithi kwa Makonda mlifuata nini. Wengi ya walioenda kwa Makonda kipindi kile cha wanawake waliodhulumiwa urithi walikuwa Waislamu. Sasa ilikuwaje wakadhulumiwa wakati kwenye Uislamu kila kitu kiko wazi kama unavyodai wewe? Wakati mwingine kama huna cha kuandika ni bora...
Pole sana. Wasiliana na Afisa wa kitengo cha Customer care. Namba yake ni 0754275571. Huyu atakushauri namna ya kulipia na kupata data zako bila kulazimika kuja TZ.
Siyo rahisi kuzipata online. Zile zipo kisheria na ili kuzipata ni lazima ufuate utaratibu kwa kuwasiliana na sehemu husika ambayo ni Tanzania Meteorological Agency
Nenda Mamlaka ya Hali ya Hewa gorofa ya tatu Ubungo Plaza. Kitengo kinachohusika ni Customer care. Hapo utapata data zote unazotaka hata kama ni kuanzia mwaka 1896. wana Archive kubwa sana na data zao ziko vizuri. Pia watakupa ushauri mzuri kutokana na matumizi yako. Huwa kuna kulipia hivyo...
Nasikia katika kazi kubwa aliyofanya Kibonde kabla hajafariki ilikuwa ni kuwapatanisha Gadner na Jide. Hivyo kama kweli wamerudiana Kibonde anastahili sifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.