Habari zenu wakuu, msaada naomba udhamini nataka kukopa bank fulani awe na tin leseni ya biashara barua ya selikari ya mtaa wa biashara na barua ya selikali ya mtaa anakoishi, pesa ya picha nitamlipia, mkopo kati m3 au m2 atakaenisaidia laki nampa awe mkazi dar wilaya kinondoni ni bora naishi...
Waziri mkuu mwakyembe, magufuli abaki palepale, pinda achukue cheo cha lukuvi hicho ndicho kinachomfaa kwa sabanu anaweza kujibu maswali vizuri hasa siku ya alhamisi, wizara ya uchukuzi kama pangekua pana uwezekano awekwe dr. Slaa lakini haiwezekani,awekwe ana kilango malechela, wengine waendelee.
Jamani naombeni msaada, kuna ajali imetokea kutoka moshi kuja dar, kuna ndugu yangu yupo ndani gari, gari ipo miguu juu nimempigia simu analia tu, msaada ajali hiyo ipo wapi?
Mimi ushauri wangu kwa zito kabwe namuomba, kama atanielewa kwanza tunampenda sana na kama amechukua hizo pesa, najua alilazimishwa kupewa, kwa suala la pesa ni shetani mkubwa sana, ningependa. Ktk hizo siku 14 aombe radhi kwa chadema kwamba alipewa lakini sio nia yake naimani viongozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.