CUF - KUONGOZA NCHI 2015 ni ushindi mkuu.

CUF - KUONGOZA NCHI 2015 ni ushindi mkuu.

Cuf kweli ipo kwenye damu na sio kwenye mdomo au kwenye majukwaa kama walokolee wanavyofanya,wanafikiri kila siku itakuwa jumapili,sasa cuf wana staili mpya nyumba kwa nyumba kila mtu kadi mkononi ndiyo ushindi. Sio lema na zitto au mbowe na slaa siasa hihzo zimeisha

Umeona eei ,tatizo hapa kuna majahili hawa huweza kuja na matusi au kejeli na hujifanya wao Too Much know without knowing , watu wa dizaini hii huwa nawafurahia kwani at first sight nawaona ni katika lile kundi la waliopotea ,sasa jitu lina miaka arubaini au linakaribia huko unalikuta linaandika madudu.
Kama ulivyosema na ndivyo ilivyo na wao hao vyama vingine ikiwemo CCM kubwa lao wanafahamu fika kuwa CUF ni tishio ni chama kinachofuka moshi wa siasa ,wanajua kimefanya nini kule Zanzibar hadi kuingiza mguu mmoja ndani ya Ikulu ,Leo hii wamo ndani ya serikali ,wakaitwa majina ya kuitwa sijui ndoa,sijui b ,hamna cha b wala c ,CUF ipo ndani ya serikali ya Zanzibar wakiwa na post za juu kabisa ,dogo hilo ?

CUF inakuja upande wa pili na inakuja kwa ushindi mkuu usiotegemewa na CCM wala vyama vingine na hapo ndipo zaidi wale waliokuwa wanagatigati wataijua CUF kuwa ni chama dume na mwananchi wa kweli lazima atauwa yupo CUF, sasa wewe huko kwengine sijui unafanya nini ,hivi hamuoni malumbano ya huko ,hivi ni chama hicho au ni wafanya biashara sokoni ?

Tumeweza kushinda sio Zanzibar tu hata Bara CUF imeshinda tena chaguzi zote ,hilo halina ubishi na wanachama wenyewe wanalijua hilo ,subiri tu utakaposikia Tume huru imepatikana ambayo itakubalika na CUF katika uchaguzi ujao basi hapo ndio mtajua kama embe ntunda.
 
Uzi huu umeuwekwa jana jioni!

Hadi leo hii reply ni 20 tu! Hiyo pekee inatosha kukuonesha uelekeo wa upepo!
Kila la kheri!
 
Amini usiamini CUF ni mshindi wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 2015 ,kiasi kilichobakia ni kama mwaka na nusu kuanzia kampeni za Uchaguzi ambazo kuna baadhi ya vyama vimeshaanza tokea sasa ikiwemo CCM.

WaTanzania walio wengi wameonesha hisia za hali ya juu kukipa Chama cha CUF ushindi mkuu ambao watabiri wa mambo wanasema haujawahi kutokea.Chama Cha CUF ambacho kwa sasa kimetulia kama hakipo lakini uhakika nilioupata ni kuwa mambo yao yalikuwa yanafanyika ndani ya handaki ,na hatua waliyofikia itawashangaza adui CCM na walokole wengine .

CUF itatinga kwenye uchaguzi mkuu pale tu tume ya uchaguzi itakapobadilishwa na kuwa huru yenye kushirikisha asasi nyengine na kukubalika na asilimia kubwa ya washiriki wa Uchaguzi (vyama vyote vya siasa).Vinginevyo haitoshiriki uchaguzi na hapo ndipo itakapojulikana kama embe ni tunda.

CUF bado inahazina ya wapiga kura wengi kuliko chama kingine chochote kile ,huo ndio ukweli ,tuachane na longolongo za mitandaoni ambazo hazina mshiko. Pia mingi ya mikutano ambayo baadhi ya vyama vimekuwa vinajidai ni kuonyesha nguvu zake kwa wingi wa wananchi wanaohudhuria,vyama hivyo utavikuta vina mipasho mingi tu ,habari ambazo zinakuwa vivutio kwa wahudhuriaji na sio kuwa wao ni wanachama au wanaimani na hicho chama ,habari ambazo hazina tofauti na za magazetini zile zenye vichwa vya habari vinavyovutia wanunuzi,kumbuka tu anae nunua gazet huwa hana share na gazeti wala si memba wa gazeti hilo ,ndio sawa na wahudhuria katika mikutano ya vyama.

CUF ni Chama ngangari hapa Tz ,hilo wengi wenu mnalielewa ni Chama ambacho kinayaweza mapambano ya kisiasa na kimeonyesha nguvu zake na kuitaarifu Dunia ya kuwa kama wakiamua basi wanaweza ,mnakumbuka walichokifanya Zanzibar (Unguja na pia Pemba ,waulizeni polisi watawapa habari na zaidi kilichowapata hao polisi kule Pemba.Ni kuyakataa yanayofanywa na Tume ya Uchaguzi, Hayo ni moja yaliyofanyiwa tathmini kwa upande wa Tanganyika na imeonyesha wazi yanaweza kufanyika tena yakashinda yale ya Zanzibar ,

Yanayofanywa na vyama vingine kwa hivi sasa yote yanatizamwa na kuratibiwa vizuri sana bila ya kuacha kuyafanyia kazi na huko ndiko kulikowapa ushujaa CUF kuwa bado wanachama wao wapo hai na siku filimbi ikipulizwa basi wote wataitikia wito na kuelekeza majeshi katika njia ya ushindi mkuu.

Na kwa wale wanaobeza basi wajue wameshakosea kwani ushindi uko huku ,na hili wanasema ni basi la mwisho ,dandia upande wowote ue utafika kule unakotaka kupelekwa.

CUF wataendelea kuongoza nchi kwa mtindo wa sasa. Kama CUF wapo kwenye serikali ya Zenj si tayari wanaongoza. Kwa mtindo wa kusaliti matakwa ya sisi wapiga kura kwanini mpigiwe tena kura 2015? Ningewaamini kama mngebakia kututetea nje ya serikali ya sisi-M.
 
Kuota ndoto ni jambo zuri, ila kusubiri mpaka uote ndoto ndio ufanye jambo ni upumbavu.
 
Amini usiamini CUF ni mshindi wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 2015 ,kiasi kilichobakia ni kama mwaka na nusu kuanzia kampeni za Uchaguzi ambazo kuna baadhi ya vyama vimeshaanza tokea sasa ikiwemo CCM.

WaTanzania walio wengi wameonesha hisia za hali ya juu kukipa Chama cha CUF ushindi mkuu ambao watabiri wa mambo wanasema haujawahi kutokea.Chama Cha CUF ambacho kwa sasa kimetulia kama hakipo lakini uhakika nilioupata ni kuwa mambo yao yalikuwa yanafanyika ndani ya handaki ,na hatua waliyofikia itawashangaza adui CCM na walokole wengine .

CUF itatinga kwenye uchaguzi mkuu pale tu tume ya uchaguzi itakapobadilishwa na kuwa huru yenye kushirikisha asasi nyengine na kukubalika na asilimia kubwa ya washiriki wa Uchaguzi (vyama vyote vya siasa).Vinginevyo haitoshiriki uchaguzi na hapo ndipo itakapojulikana kama embe ni tunda.

CUF bado inahazina ya wapiga kura wengi kuliko chama kingine chochote kile ,huo ndio ukweli ,tuachane na longolongo za mitandaoni ambazo hazina mshiko. Pia mingi ya mikutano ambayo baadhi ya vyama vimekuwa vinajidai ni kuonyesha nguvu zake kwa wingi wa wananchi wanaohudhuria,vyama hivyo utavikuta vina mipasho mingi tu ,habari ambazo zinakuwa vivutio kwa wahudhuriaji na sio kuwa wao ni wanachama au wanaimani na hicho chama ,habari ambazo hazina tofauti na za magazetini zile zenye vichwa vya habari vinavyovutia wanunuzi,kumbuka tu anae nunua gazet huwa hana share na gazeti wala si memba wa gazeti hilo ,ndio sawa na wahudhuria katika mikutano ya vyama.

CUF ni Chama ngangari hapa Tz ,hilo wengi wenu mnalielewa ni Chama ambacho kinayaweza mapambano ya kisiasa na kimeonyesha nguvu zake na kuitaarifu Dunia ya kuwa kama wakiamua basi wanaweza ,mnakumbuka walichokifanya Zanzibar (Unguja na pia Pemba ,waulizeni polisi watawapa habari na zaidi kilichowapata hao polisi kule Pemba.Ni kuyakataa yanayofanywa na Tume ya Uchaguzi, Hayo ni moja yaliyofanyiwa tathmini kwa upande wa Tanganyika na imeonyesha wazi yanaweza kufanyika tena yakashinda yale ya Zanzibar ,

Yanayofanywa na vyama vingine kwa hivi sasa yote yanatizamwa na kuratibiwa vizuri sana bila ya kuacha kuyafanyia kazi na huko ndiko kulikowapa ushujaa CUF kuwa bado wanachama wao wapo hai na siku filimbi ikipulizwa basi wote wataitikia wito na kuelekeza majeshi katika njia ya ushindi mkuu.

Na kwa wale wanaobeza basi wajue wameshakosea kwani ushindi uko huku ,na hili wanasema ni basi la mwisho ,dandia upande wowote ue utafika kule unakotaka kupelekwa.

swali: CUF ina wabunge wangapi kuzidi hao wapinzani wengine??????
 
<font size="3">swali: CUF ina wabunge wangapi kuzidi hao wapinzani wengine??????</font>

Habari za Slaa kama hatakiwi CDM alizidalilisha nani,za Zitto kuvuliwanyazifa alizidalilisha nani hapa au humu JF ? So take Care pale ninapozuka na habari ambazo zitakuwia tabu kuziamini.CUF ina wabunge wangapi ? Suali hilo waulize tume ya uchaguzi , ninachokijua mimi ambacho sina shaka nacho ni kuwa Tume hiyo ya Uchaguzi ,ilipoona CUF imezoa wabunge kedekede kule Zanzibar ikatoa uamuzi wa haraka sana kuwa iwavyo na iwe huku bara CUF isipate mbunge hata mmoja ,tume ikajitahidi kuchakachua na ikafanikiwa kwa kiasi kikubwa sana ,na kufanikiwa ni kuwagawa wabunge kwa vyama vingine ,ndio ukaona CDM imegaiwa nafasi nyingi za ubunge hakuna asiejua kama CDM haikushinda ,viti karibuni vyote vya CUF viligawanywa na CDM waliambulia vingi sana ukilinganisha na vyama vingine, Nina siri ya uchaguzi ujao lakini bora ninyamaze.Ila habari ndio hiyo ,makonde bungeni hayatasaidia kitu ,matokeo ndio hayo tunayaona !
 
hawa nao bana ..hivi hawajaachika tu kwenye ndoa yao na CCM
 
Mkuu, inawezekana kabisa huyu jamaa Mwiba, aliyeleta hii mada ametumwa kuichafua CUF.
kama kuna ka ukweli fulani hivi.....kwa maneno ya hapa chini
CUF ni Chama ngangari hapa Tz ,hilo wengi wenu mnalielewa ni Chama ambacho kinayaweza mapambano ya kisiasa na kimeonyesha nguvu zake na kuitaarifu Dunia ya kuwa kama wakiamua basi wanaweza ,mnakumbuka walichokifanya Zanzibar (Unguja na pia Pemba ,waulizeni polisi watawapa habari na zaidi kilichowapata hao polisi kule Pemba.Ni kuyakataa yanayofanywa na Tume ya Uchaguzi, Hayo ni moja yaliyofanyiwa tathmini kwa upande wa Tanganyika na imeonyesha wazi yanaweza kufanyika tena yakashinda yale ya Zanzibar
 
Amini usiamini CUF ni mshindi wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 2015 ,kiasi kilichobakia ni kama mwaka na nusu kuanzia kampeni za Uchaguzi ambazo kuna baadhi ya vyama vimeshaanza tokea sasa ikiwemo CCM.

WaTanzania walio wengi wameonesha hisia za hali ya juu kukipa Chama cha CUF ushindi mkuu ambao watabiri wa mambo wanasema haujawahi kutokea.Chama Cha CUF ambacho kwa sasa kimetulia kama hakipo lakini uhakika nilioupata ni kuwa mambo yao yalikuwa yanafanyika ndani ya handaki ,na hatua waliyofikia itawashangaza adui CCM na walokole wengine .

CUF itatinga kwenye uchaguzi mkuu pale tu tume ya uchaguzi itakapobadilishwa na kuwa huru yenye kushirikisha asasi nyengine na kukubalika na asilimia kubwa ya washiriki wa Uchaguzi (vyama vyote vya siasa).Vinginevyo haitoshiriki uchaguzi na hapo ndipo itakapojulikana kama embe ni tunda.

CUF bado inahazina ya wapiga kura wengi kuliko chama kingine chochote kile ,huo ndio ukweli ,tuachane na longolongo za mitandaoni ambazo hazina mshiko. Pia mingi ya mikutano ambayo baadhi ya vyama vimekuwa vinajidai ni kuonyesha nguvu zake kwa wingi wa wananchi wanaohudhuria,vyama hivyo utavikuta vina mipasho mingi tu ,habari ambazo zinakuwa vivutio kwa wahudhuriaji na sio kuwa wao ni wanachama au wanaimani na hicho chama ,habari ambazo hazina tofauti na za magazetini zile zenye vichwa vya habari vinavyovutia wanunuzi,kumbuka tu anae nunua gazet huwa hana share na gazeti wala si memba wa gazeti hilo ,ndio sawa na wahudhuria katika mikutano ya vyama.

CUF ni Chama ngangari hapa Tz ,hilo wengi wenu mnalielewa ni Chama ambacho kinayaweza mapambano ya kisiasa na kimeonyesha nguvu zake na kuitaarifu Dunia ya kuwa kama wakiamua basi wanaweza ,mnakumbuka walichokifanya Zanzibar (Unguja na pia Pemba ,waulizeni polisi watawapa habari na zaidi kilichowapata hao polisi kule Pemba.Ni kuyakataa yanayofanywa na Tume ya Uchaguzi, Hayo ni moja yaliyofanyiwa tathmini kwa upande wa Tanganyika na imeonyesha wazi yanaweza kufanyika tena yakashinda yale ya Zanzibar ,

Yanayofanywa na vyama vingine kwa hivi sasa yote yanatizamwa na kuratibiwa vizuri sana bila ya kuacha kuyafanyia kazi na huko ndiko kulikowapa ushujaa CUF kuwa bado wanachama wao wapo hai na siku filimbi ikipulizwa basi wote wataitikia wito na kuelekeza majeshi katika njia ya ushindi mkuu.

Na kwa wale wanaobeza basi wajue wameshakosea kwani ushindi uko huku ,na hili wanasema ni basi la mwisho ,dandia upande wowote ue utafika kule unakotaka kupelekwa.

Wee nae ni marehemu ulietoboa sanda kwa kisigino ktk harakati za kukupeleka malaloni huku ukiwapa matumaini ya kuendelea kusubiri kwa hamu wazikaji wakitegemea kufufuka kwako.
Pole saaana!!
 
Naamini CUF ndio kitaweza kuchukuwa nchi mwaka 2015 na naamini kama wasipo shinda basi kitakuwa chama kikuu cha upinzani. CUF mnapaswa kuimarisha safu na niwakati wa kujiandaa kuwapokea wana mabadiliko toka chadema na ccm, tuepukane na vyama vya familia na visivyotaka nabadiliko,naunga mkono Dira ya Mabadiliko na only CUF ndio inaweza kutufikisha hasa kutokana na kuwa na Viongozi wasomi na waliosheheni busara.
 
Wee nae ni marehemu ulietoboa sanda kwa kisigino ktk harakati za kukupeleka malaloni huku ukiwapa matumaini ya kuendelea kusubiri kwa hamu wazikaji wakitegemea kufufuka kwako.
Pole saaana!!

Kuwa na ustaarabu wa hali ya juu ucmkwaze marehemu kwa kudhihaki na maneno yko yakejeli kuwa makini na ujitambue ww ni maiti.
 
Hii mada Imeletwa na ccm kivuruga umoja wa wapinzani ipuuzeni wala isichangiwe
 
Zanzibar haina mjadala., Tanganyika jikazeni ili tumuondoe huyu sultani mweusi, jini la subiani linanyonya damu zetu usiku na mchana.,,
 
Cuf kweli ipo kwenye damu na sio kwenye mdomo au kwenye majukwaa kama walokolee wanavyofanya,wanafikiri kila siku itakuwa jumapili,sasa cuf wana staili mpya nyumba kwa nyumba kila mtu kadi mkononi ndiyo ushindi. Sio lema na zitto au mbowe na slaa siasa hihzo zimeisha

Wewe kama si GAMBA wewe,basi ni sawa na mwanaume anayetumika mlango wa nyuma halafu anawambia watoto kila mtu anaweza kuwa mama

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom