musa wa ukweli
Member
- Dec 14, 2013
- 33
- 3
Pinda ni mtu mzima, ameskia wabunge na wananchi kwa ujumla wao wakipinga ukatili wa iyo tokomeza. Amuige Kagasheki ajiuzulu.
weka vzur link ifunguke
PINDA; wakikaidi amri pigeni, eeeh, maana tumechoka sasa...
weka vzur link ifunguke
Mh sa akijiuzuru itakuwaje???,???????????????,
Ahaaah kumbe bas tmpe mda ajirekebishe!
Pinda amedharaulika mpaka ndani ya bunge.
Wabunge wanamuona ni dhaifu!
JK hii ni aibu yako pia.