Ni kweli unachoongea broo!!!!... fursa zipo nyingi, imagine dar kuna population ya watu 5 million, hao wote wanahitaji kula na kuvaa
Inabidi tufikirie positive...
Nashkuru sana broo!!!! Nitakucheki kila changamoto nitakayoipata unisaidie kuitatua.
Habari za wakati huu waungwana.
Bila kupoteza muda niende kwenye mada husika.
Ninaomba kujua jinsi ya kuzipata Post Code na kuzijaza kwenye field mbalimbali ambazo zinahitajika..
Kwa case yangu ninataka nizijaze kwenye Googgle Adsense kwenye Website yangu.... nimehangaika nimeshindwa...
Sawa lakini tukumbuke hao wanaoitwa wapanga mapinduzi walioko nje hawawezi kulifanikisha hilo wao wenyewe. Lazima watatumia nguvu ya wananchi.
Point yangu ni kwamba Mkuu wa Majeshi naona ameharakisha sana tamko lake wakati wao huwa ni watu wa mwisho na pia hushughlikia mambo makubwa ya...
Habari za Asbuhi wadau, natumai mu wazima wa Afya.
Kama topic inavyouliza hapo juu, majuzi kumetokea taarifa kutoka kwa mkuu wa majeshi, Jenerari MABEYO alitoa tamko kuhusu usalama wa nchi kuwa wananchi waache kujihusisha na shughuli yoyote ile itakayopelekea uvunjifu wa amani.
Alisisitiza...
Manchester City imeshatuma ofa ya €68m kwa Leicester City kwaajili ya kumsajili winga Riyad Mahrez ambaye Pep Guardiola anaamini atakuwa mbadala wa Leroy Sane.
Leroy Sane ameumia kwenye mchezo wa FA Cup wikiendi iliyopita ambapo atakaa nje kwa wiki 7 hadi 9 .
Via
France Football
#BREAKING
Mshambuliaji Pierre Emerick Aubameyang amewasili katika uwanja wa mazoezi wa klabu ya Arsenal London Colney kukamilisha uhamisho wake kutoka klabu ya Borrussia Dortmund
Arsenal wamekubalina na Dortmund ada ya uhamisho ya Pauni milioni 60 kwa mshambuliaji huyo mwenye miaka 28...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.