Recent content by sakharov

  1. S

    Map

    Wajumbe mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33 Ni Mwajiriwa wa Serikali, nimeoa na nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 3. Licha ya kwamba niko kwenye ndoa, lakini ilitokea siku moja asubuhi nikiwa barabarani na gari langu nikitokea nyumbani kwangu Mitaa ya Kihonda Magorofani nikielekea...
  2. S

    Kingdom Animalia (Cazorla, nge)

    KINGDOM---ANIMALIA (CAZORLA, NGE) ORDER NAME-SCORPIONES (NGE) Nge si jina geni kwa watu, ni kiumbe cha ajabu ktk hii dunia kikiwa na sifa mbalimbali ambazo ni tofuati na viumbe wengine. Nge muda mwingine anatambulika km ni mnyama anae kula mnyama "predator". Sifa pekee ineyomfanya nge awe wa...
  3. S

    Ndoa ina mwaka sasa inanishinda, sina hamu ya kufanya tendo la ndoa na mke wangu

    ndo maana siku zote unatakiwa uonje kwanza asali kabla ya kuinunua
  4. S

    Sina hamu ya kuendelea kuishi na mke niliyezaa naye watoto watatu

    hao watoto 3 umewapata vp ikiwa mna miaka 2 ktk mahusiano.? hlf angalia isije kua ndo tabia yako yaani inborn character yako.. ikiwa hivo basi ujue huwez kutulia na mwanamke...na mpk umelileta humu kweli umemchoka.....anyway mungu akupe uwezo uishi nae huyo huyo
  5. S

    Mgomo wa wanafunzi UDOM waingia siku ya pili

    mm nilishasahau bumu.....teh teh laki 2 kwa mwezi....ndogo sana....hlf unaichelewesha???
  6. S

    Ajira za walimu tarehe 1 May 2015

    umenipa moyo kishenzi
  7. S

    Ajira za walimu tarehe 1 May 2015

    dah vijijini tena....ina maana arts hawatopelekwa mijini kabisaaaaa???
  8. S

    Ajira mpya za walimu soon

    hehehehe.......hatari tupu
  9. S

    Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Zitto Kabwe ahamia rasmi ACT Tanzania

    wale na nani? sema kimpango wako
  10. S

    Kuchelewa tena kwa ajira za ualimu 2015

    watoe wasitoe shauri yao....maisha yatakwenda tu hata wasipotoa
  11. S

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    hehehe.....hata hivo tunevumilia...huu mwezi wa 9 tokea tumalize chuo
  12. S

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    aaaa walimu mnataka kutwangana wenyewe kwa wenyewe kisa ajira kuchelewa....acheni hizo vumilieni tu
  13. S

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    ishu ni ktkt ya mwezi huu kuripoti mwez ujao
Back
Top Bottom